Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Picha iko wapi?Kweli ambaye amepewa kapewa tuu, na huu msemo umejidhihirisha mbele yaDiamond Platinumz kuwa ndo msanii ana yejituma kwa bidii zote kuliko msanii yeyote hapa bongo.
Pia ndo msanii ambaye anamiliki TV na radio Africa nzima pekeake.
Pia ndo msanii ambaye Tv na radio yake kwa Mara ya kwanza vitakuwa vinapatikana kwenye miliki yake, na sio kama radiona Tv Kama clouds, efm na nyingine zinazotegemea leasing area ili kuoperate.
HAIL TO DIAMOND PLATINUMZ THE G. O. A. T[emoji122]
Miliki yake kiaje? na Hiyo tower ni mnara wa kurusha matangazo ya redio au satelite ya TV?Kweli ambaye amepewa kapewa tuu, na huu msemo umejidhihirisha mbele yaDiamond Platinumz kuwa ndo msanii ana yejituma kwa bidii zote kuliko msanii yeyote hapa bongo.
Pia ndo msanii ambaye anamiliki TV na radio Africa nzima pekeake.
Pia ndo msanii ambaye Tv na radio yake kwa Mara ya kwanza vitakuwa vinapatikana kwenye miliki yake, na sio kama radiona Tv Kama clouds, efm na nyingine zinazotegemea leasing area ili kuoperate.
HAIL TO DIAMOND PLATINUMZ THE G. O. A. T[emoji122]
haya masystem ya kutanguliza watu maharufu kwenye miradi mikubwa wanatumia sana wanasiasa na Mafia groups duniani kote!!Hii nayo nimeiwaza. Mimi nimewaza kama unavyosema Diamond aekewe share nyingi hivo kwa sababu ya jina lake ili kuvutia biashara. Lkn in actual sense pesa anayopewa sio nyingi kivile.
Mawazo ya kimaskini sisi lkn.
Zero ipi ?From zero to a hero!
Wavimba macho wengi sana,dogo ana pesa ndeefu.Celebrity worship syndrome ni ugonjwa wa akili ambapo mtu hutokea kumpenda mtu maarufu kupita kiasi.
(Kufatilia na kusifia/kupenda kila kitu anachofanya kwenye kazi yake na maisha binafsi.)
Duu!Wavimba macho wengi sana,dogo ana pesa ndeefu.
Katoa ajira kibao,siku atakapo tia nia kugombea uraisi wa JMT,utahama nchi kwa aibu
Unaweza pia kusema ulevi pia,wengi wanapenda kutumia kwenye pombe kumbe ukipendA kitu kupita kiasi ni ulevi.
Wengi wao wanaopenda celebrity kupita kiasi wanakuwaga wanakula na kulala bure,yaani ni jobless.
Content na Tittle sawa na mbingu na ardhi havina connection hata kidogo....Kweli ambaye amepewa kapewa tuu, na huu msemo umejidhihirisha mbele yaDiamond Platinumz kuwa ndo msanii ana yejituma kwa bidii zote kuliko msanii yeyote hapa bongo.
Pia ndo msanii ambaye anamiliki TV na radio Africa nzima pekeake.
Pia ndo msanii ambaye Tv na radio yake kwa Mara ya kwanza vitakuwa vinapatikana kwenye miliki yake, na sio kama radiona Tv Kama clouds, efm na nyingine zinazotegemea leasing area ili kuoperate.
HAIL TO DIAMOND PLATINUMZ THE G. O. A. T[emoji122]
Sasa unataka awe na utajiri wa kiUSA wakati yeye yuko bongo!!! Serikali yako tu ya TZ haifikii pato la Dr. Dre kwa mwaka 2019...Non Sense!!!!!!! TCRA si wameweka wazi wamiliki na hisa za wasafi? Mbona unajitoa ufahamu? Mnaona JF wamejaa maburula kama nyinyi? Huyo msaniii wenu kupata vijishare vya wasafi mikelele mwaka mzima,je angekuwa na 100% share si tusingelala? Ebu mwambie awagugo kina Dre , Diddy ,Birdman walivyo na ma investment ya hatari halafu hawana YOWE hata kidogo!! Huyo msanii wenu ana utajiri wa kibongo tu.
unauhakika kijana?Bado iko kwenye makaratasi tu, hata tofari hakuna!
Kama wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unaweza pia kusema ulevi pia,wengi wanapenda kutumia kwenye pombe kumbe ukipendA kitu kupita kiasi ni ulevi.
Wengi wao wanaopenda celebrity kupita kiasi wanakuwaga wanakula na kulala bure,yaani ni jobless.
wewe ni juma lokole square, lazima ufanye kazi zaidi yangu[emoji2957][emoji2957][emoji2957]Uyu ni juma lokole lazma afanye kazi yake .
afadhali umekubali kuwa kwa bongo ndo tajili namba moja[emoji2957][emoji2957][emoji2957]Non Sense!!!!!!! TCRA si wameweka wazi wamiliki na hisa za wasafi? Mbona unajitoa ufahamu? Mnaona JF wamejaa maburula kama nyinyi? Huyo msaniii wenu kupata vijishare vya wasafi mikelele mwaka mzima,je angekuwa na 100% share si tusingelala? Ebu mwambie awagugo kina Dre , Diddy ,Birdman walivyo na ma investment ya hatari halafu hawana YOWE hata kidogo!! Huyo msanii wenu ana utajiri wa kibongo tu.
Diamond 2010 alikuwa zero na sasa ni hero. Namkumbuka sanaZero ipi ?
umelogwaMku waweza weka hizo share tuone.
Asiweke mleta uzi maana si kwa mahaba haya atasema share ni 100% 100% kwa domo
correctionJuhayna Zaghalulu Ajmy - 53%
Nasibu Abdul Juma - 45%
Ali Khatib Dai - 2%
wewe ndo boya kabisa, wakati ana utajiri wa $10 million ndo ashindwe $1 millionDiamond ni kama Masanja Makandamizaji!! Watu wanawekeza pesa zao(zingine chafu) yeye anaonekana Tajiri kumbe boshen tu.Wasafi FM,Chibu pafyme,diamond karanga na hiyo miradi mingine yeye ni mshika pembe tu wapo wenyewe[emoji16]!! Pesa zake (clean money) aziwezi fikia kiasi cha yeye kujenga ata jengo la Million$1.