Good night

hamuogopi gentamycine ....kweli ?? au wataka Dogo wawatu achambwe mpka aende kuitazama jinsia yake kwenye kioo""
Hahahahhh Genta hana shida anakwambia hata wakiwa 100 kikubwa papuchi isizeeke [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hiyo siku niliagiza nyama ya mbuzi ikaletwa nyama imepoa yaani labda wajirekebishe sasa hivi sijaenda mda kweli halafu me siingiagi lounge nakaaga nje uwanjani sijawahi ingia lounge
Lounge yenyewe hamna kitu. Pale nje ndo pazuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…