Uchaguzi 2020 Goodluck Abinala Mwangomango achukua fomu ya ubunge Rungwe kupitia CCM

utukufu mwanjisi

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2017
Posts
2,849
Reaction score
2,508
Hatimaye siku tuliyoisubiri wana Rungwe kwa muda mrefu imefika ndugu Comrade Goodluck Mwangomango kuchukua fomu ili awatumikie wana Rungwe 2020-2025.

ANATOSHA JIMBO LA RUNGWE
 
MFANYABIASHARA Chandulal Walji Ladwa (68), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala kwa tuhuma za kumpa rushwa Mkuu wa Kitengo cha Sheria wa CCM, Goodluck Mwangomango.
 
MFANYABIASHARA Chandulal Walji Ladwa (68), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala kwa tuhuma za kumpa rushwa Mkuu wa Kitengo cha Sheria wa CCM, Goodluck Mwangomango.
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…