Hakuna kesi yeyote hapo ,hata mwanafunzi wa certificate ya sheria anashinda hiyo case.Kachoma polini sehemu isiyo na madhara kwa binadamu wenzie
Gari ukishapewa ni lako, amechoma mali yake.
Eti kachoma gari lake alilolichoka, mi mwenyewe naishi kwa kujificha sasa maana nimechoma boxer zangu zilizotoboka ambazo zilikuwa zinasababisha mambupu kuwa njeAchukuliwe hatua kwa kosa gani?
Huyu kaharibu mali yake