Goodluck Gozbert amepotelea wapi?

Goodluck Gozbert amepotelea wapi?

Ujinga mtupu

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2017
Posts
887
Reaction score
2,010
Hello.

Nini kimetokea kwa msanii wa nyimbo za Gospel Good luck Gozbert amekuwa na ukimya mkubwa sana uliopitiliza na haieleweki umesababishwa na nini.

Hakuna hits song Tena Wala kuvuma na nyimbo zake zile kama zamani.
 
Alitoa wimbo karibuni, ila ni kama watu hawakuupokea vizuri
 
Lolimwaaa.

Jamaa ni producer mkubwa sana hapa Tanzania, ametengeneza hit song nyingi sana hasa za wasanii wa kanda ya ziwa.

Yule dogo alieimbaga BASII NEENDA, hit zoote producer alikua Goodluck, nadhan sasa hivi yuko bize na music production.

Jina la uproducer anaitwaga LOLIPOP, katengeneza hit nyingi sana bongo fleva
 
Hello.

Nini kimetokea kwa msanii wa nyimbo za Gospel Good luck Gozbert amekuwa na ukimya mkubwa sana uliopitiliza na haieleweki umesababishwa na nini.

Hakuna hits song Tena Wala kuvuma na nyimbo zake zile kama zamani.
Ulabu a.k.a gambe.
 
Back
Top Bottom