Goodluck Gozbet avunja ukimya kisa cha kuchoma gari, watu waliotaka kumua, amtaja GeorDavie

Goodluck Gozbet avunja ukimya kisa cha kuchoma gari, watu waliotaka kumua, amtaja GeorDavie

Anaona kwenye ulimwengo wa kiroho,bado nasema ni vigumu mtu wa kawaida kuelewa hasa,sana wataishia kusema umechanganyikiwa,neema ya Mungu iendelee kumtia nguvu
 
Sasa kama dhamiri yake inamchoma kwa nini alipokea zawadi hiyo ili hali yeye ni wa kiroho?
 
Sasa kama dhamiri yake inamchoma kwa nini alipokea zawadi hiyo ili hali yeye ni wa kiroho?
Anayoyasema sasa ameshachelewa sana kwa sababu anaongelea katika mawanda ya uhalisia uliochelewa "delayed reality"
Katika mawanda ya kiroho hakuna uhalisia uliochelewa angekuwa kiroho angeichoma kiroho sula la kupewa kimwili (material) lisingetokea.
Kwa kifupi amechelewa sana.
 
Sasa kama dhamiri yake inamchoma kwa nini alipokea zawadi hiyo ili hali yeye ni wa kiroho?
Kila siku tunakuwa kiroho ,ukuaji kiroho ni process ,ulivyo Leo sivyo utakavyokuwa kesho, unaweza kupanda ,kushuka au kupata zaidi
 
Angejichoma na yeye kwenye hilo gari, ningemuamini! Kinyume na hapo, akubali tu amefanya tukio la uharibifu wa mali.

Kama aliona hilo gari lina mapepo, angetuuzia sisi tusio amini uwepo wa hayo mapepo kwa bei ya hasara, halafu hela zote angeenda kuwapa watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu.
 
Kila siku tunakuwa kiroho ,ukuaji kiroho ni process ,ulivyo Leo sivyo utakavyokuwa kesho, unaweza kupanda ,kushuka au kupata zaidi
Tukubaliane kuwa alichofanya ni cha kimwili na hata kama kina athari ya kiroho amechelewa sana
 
Kwa Mungu hakuna kuchelewa, angepata madhara ndio ungesema amechelewa
Angeichoma kiroho asingepewa hilo gari issue ingekuwa imeishia hukohuko, alichokifanya ni cha kimwili na mambo ya kimwili ni delayed reality.
 
Kwa Mungu hakuna kuchelewa, angepata madhara ndio ungesema amechelewa
Alipata madhara kiroho ndiyo maana akachukua gari, alichokionesha ni uhalisia uliochelewa sana kwa sababu kabla hajapewa hilo gari Kayla ulimwengu wa vitu "material world" angeweza kulikatas kiroho. Hapa inaonesha alishindwa kote kote yaani kiroho na kimwili.
Narudia alichofanya ni delayed realit.
 
Alipata madhara kiroho ndiyo maana akachukua gari, alichokionesha ni uhalisia uliochelewa sana kwa sababu kabla hajapewa hilo gari Kayla ulimwengu wa vitu "material world" angeweza kulikatas kiroho. Hapa inaonesha alishindwa kote kote yaani kiroho na kimwili.
Narudia alichofanya ni delayed realit.
We mwanadamu usiyejua hata dk moja mbele nn kitatokea

Unasema eti kachelewa 😂😂

Wakati wa Mungu ni wakati sahihi
 
Back
Top Bottom