njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Alikuwa orlando pirates kwa sasa yuko amazulu ni mmalawi kuna goal alifunga afcon duh bonge lagoli, kombora la mbaliGabadinho mhango ni WA team gani
Nahisi ili ndio goal boraalikuwa orlando pirates kwa sasa yuko amazulu ni mmalawi kuna goal alifunga afcon duh bonge lagoli, kombora la mbali
hapo sakho anaye mshindani wa kweli lile goli ni kombora la nguvu, anyway alipofika sakho pakubwa sana jina lake ni kubwa afrika kwa sasa ajitahidi msimu huu kumaintain msimu ujao aende zake ufaransaNahisi ili ndio goal bora
NYUMBU bhana,hapo sakho anaye mshindani wa kweli lile goli ni kombora la nguvu, anyway alipofika sakho pakubwa sana jina lake ni kubwa afrika kwa sasa ajitahidi msimu huu kumaintain msimu ujao aende zake ufaransa
goli la feisali limefanyiwa figisu ila yataisha tu hayaNYUMBU bhana,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unataka liwe la Feisal au Balama? Hebu sema tukaliweke, tulitoe la Sakho.NYUMBU bhana,
Nahisi ili ndio goal bora