Google kusitisha malipo kwa njia ya Western Union

Google kusitisha malipo kwa njia ya Western Union

Skull App

Member
Joined
Jul 7, 2018
Posts
60
Reaction score
67
Kampuni ya GOOGLE upande wa matangazo imesitisha malipo yake ya matangazo yanayopatikana kwenye application za simu (admob) na blog au website (AdSense), Google wamenitumia E-mail kufikia mapema mwa mwaka kesho (2021) watasitisha rasmi malipo kwa njia ya Western Union.

SWALI : Western Union ilikua njia rahisi sana kwenye malipo ya Google tz. Je ni bank gani nzuri hapa Tanzania inaweza kutumika kupokea malipo yetu ya matangazo kutoka google kwa haraka na kwa urahisi zaidi?

Screenshot_20200822-070028.png
 
kuna systems sasa ya malipo inakuja moja kwa moja kwenye bank yako kwa muda wa masaa tu sio hii kero ya western union
 
Nahisi Wire transfer ambayo pesa inatumwa bank account yako au kama una pesa nyingi cheques ni mfumo mzuri.

Ingawa wire transfer sijajua kuhusu makato yao.
 
Asante Nafaka ,Hii pioneer huunganishwa na Bank au unajitegemea? Huwa naisikia Ila sijawahi kujifunza zaidi uwepo wake.
inakupa uwezo wa kuwa na account ya bank USA, Australia, germany, canada, japan, china, na U.K ila ukiifungua by default utakuwa na acount citibank marekani lakini hiyo account inapokea malipo toka kwenye makampuni tu,

mtu hawezi eti aendi adeposite ela au wewe udeposite ela. Pia utapewa payoneer master card inayoweza tumika draw pesa atm yoyote inayosupport master card.

Halafu unaweza pia ilink na loca account yako pesa ikiingia waihamishia humo. The good thing card ya payoneer kwa kamuni nyngi za marekani transfer ni instant, ukiamua kutumia account nako itachukua siku moja pia.
 
Nahisi Wire transfer ambayo pesa inatumwa bank account yako au kama una pesa nyingi cheques ni mfumo mzuri.

Ingawa wire transfer sijajua kuhusu makato yao.
wire transfer ni outdated system kwanza ina delay 2-5 days, na ina makato makubwa minimum 25$ plus hidden costs sometimes.
 
inakupa uwezo wa kuwa na account ya bank USA, Australia, germany, canada, japan, china, na U.K ila ukiifungua by default utakuwa na acount citibank marekani lakini hiyo account inapokea malipo toka kwenye makampuni tu, mtu hawezi eti aendi adeposite ela au wewe udeposite ela. Pia utapewa payoneer master card inayoweza tumika draw pesa atm yoyote inayosupport master card...
Shukrani mkuu kwa hii elimu sikuwa naijua kabla.
 
Paypall Ni Nini?
ni Paypal, ni kwa ajili ya kutuma na kupokea ela, au kama njia ya malipo. Mfano ina act kama a link kati ya bank au card yako ya market na market ili kulinda account na pesa yako. Pia ana act kama escrow account kwa mnunuzi na mnunuaji. Pia ni njia ya kupokea malipo kama unauza vitu au service mtandaoni.
Pia ni njia ya kutuma pesa kwa familia au nyumbani. Ila Tz wameifungia isipokee ela
 
Inaonekana hii partnership ya Google na Western Union ilikuwa ni hasara kubwa kwa Google.
 
Back
Top Bottom