Itakua vyema sanakuna systems sasa ya malipo inakuja moja kwa moja kwenye bank yako kwa muda wa masaa tu sio hii kero ya western union
inakupa uwezo wa kuwa na account ya bank USA, Australia, germany, canada, japan, china, na U.K ila ukiifungua by default utakuwa na acount citibank marekani lakini hiyo account inapokea malipo toka kwenye makampuni tu,Asante Nafaka ,Hii pioneer huunganishwa na Bank au unajitegemea? Huwa naisikia Ila sijawahi kujifunza zaidi uwepo wake.
wire transfer ni outdated system kwanza ina delay 2-5 days, na ina makato makubwa minimum 25$ plus hidden costs sometimes.Nahisi Wire transfer ambayo pesa inatumwa bank account yako au kama una pesa nyingi cheques ni mfumo mzuri.
Ingawa wire transfer sijajua kuhusu makato yao.
Asante sanaNahisi Wire transfer ambayo pesa inatumwa bank account yako au kama una pesa nyingi cheques ni mfumo mzuri.
Ingawa wire transfer sijajua kuhusu makato yao.
Shukrani mkuu kwa hii elimu sikuwa naijua kabla.inakupa uwezo wa kuwa na account ya bank USA, Australia, germany, canada, japan, china, na U.K ila ukiifungua by default utakuwa na acount citibank marekani lakini hiyo account inapokea malipo toka kwenye makampuni tu, mtu hawezi eti aendi adeposite ela au wewe udeposite ela. Pia utapewa payoneer master card inayoweza tumika draw pesa atm yoyote inayosupport master card...
ninachokumbuka nilikula ban kwa kuweka rangi fontskuna systems sasa ya malipo inakuja moja kwa moja kwenye bank yako kwa muda wa masaa tu sio hii kero ya western union
ni Paypal, ni kwa ajili ya kutuma na kupokea ela, au kama njia ya malipo. Mfano ina act kama a link kati ya bank au card yako ya market na market ili kulinda account na pesa yako. Pia ana act kama escrow account kwa mnunuzi na mnunuaji. Pia ni njia ya kupokea malipo kama unauza vitu au service mtandaoni.Paypall Ni Nini?
πππππninachokumbuka nilikula ban kwa kuweka rangi fonts
πππninachokumbuka nilikula ban kwa kuweka rangi fonts