Google kutengeneza Miwani Janja (Smartglasses)

Google kutengeneza Miwani Janja (Smartglasses)

Kasomi

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
11,030
Reaction score
20,391
52a8b9b1762739f650d07bb9e88c72b6.png
Tetesi zinaonyesha kampuni ya Google ipo mbioni kuingia katika soko la Miwani za AR na imeanza majaribio ya kutengeneza AR Glasses zake.

Mwaka jana tuliona Snapchat, Ray Ban, Meta, TikTok, Xiaomi, Oppo na Huawei zilionyesha Smart Glasses mpya ambazo zina uwezo wa Augmented Reality. Apple pia ipo katika matengenezo na inaunda Smart Glasses zake.

Upekee wa Google ina Google Lens, Google Assistant na mfumo mzuri wa AR hivyo itakuwa ni miwaji janja na nzuri kwa kuunganisha na mfumo wa Google.

Itakuwa ni maalum kwa wanafunzi, designers, madaktari na wataalam mbalimbali. Tofauti na VR kama za Sony na Meta; AR (Augmented Reality) glasses ni simple na inatumia mazingira yaliyopo kuongeza details za ziada kama vile infos, notifications, directions na mtu anaona mbele kama kawaida huku akiwa anaona details za ziada.

Inaonekana kampuni kubwa za Tech zinajaribu soko la AR Glasses baada ya Snapchat, Ray Ban na Facebook kufanikiwa katika AR Glasses.
 
Sisi tulishadiscover kula mahindi kwa pili pili na ndimu
 
Bongo Elimu imekuwa jukwaa la wanasiasa kushindanisha nguvu ya uwajibikaji

Bongo kitu kiitwacho ubunifu na maarifa kimekuwa kama hadithi na dharau kwa wanaothubutu kubuni technologies mbalimbali.

Bongo vyuo vyote vimekuwa Centres za kuzalisha wanafunzi wa hovyo wanaofanya mambo ya hovyo kama hao waletao connection za mirinda na takataka za hovyo hovyo.

Yaan mpka leo bongo kielemu tupo level ambazo hao walioendelea walishazipita miaka 300 iliyopita, yaan bado tunafukuzana na ujenzi wa vyoo&madarasa na kukuza ufaulu wa grade A na GPA za michongo ambazo ni useless kwa taifa[emoji3061][emoji3061].

Hii nchi bila udicteta haitokaa iendelee, hii nchi bila kutembeza viboko&kuforce uwajibikaji kwa wahusika kamwe haitoendelea tutabaki kushindana kila siku humu mambo ya democracy na kuwapigia kelele upinzani mara kuwatusi ccm, bila uwajibikaji wa Nguvu ya chuma tutazid kuwa hiv hiv
 
Sisi tulishadiscover kula mahindi kwa pili pili na ndimu
Dah!!! Nakuongezea na nyingine kula mahindi kwa ugali japo wote ni wanga lakini hutembea vyema.
 
Bongo Elimu imekuwa jukwaa la wanasiasa kushindanisha nguvu ya uwajibikaji

Bongo kitu kiitwacho ubunifu na maarifa kimekuwa kama hadithi na dharau kwa wanaothubutu kubuni technologies mbalimbali...
Hivyo udikteta ni muhimu sana katika elimu ya Bongo 🙌🙌🙌
 
Back
Top Bottom