Google pixel 4xl kuzimika ghafla

Google pixel 4xl kuzimika ghafla

kinshwi

Member
Joined
Aug 22, 2016
Posts
22
Reaction score
39
Hivi karibuni nilinunua simu ya google pixel 4xl ambayo nimeitumia Kwa takribani miezi 5 then ilizima ghafla na ever since haijawaka tena despite kujaribu kuipeleka Kwa mafundi mbalimbali wa simu, huko nimekuta kwamba hili ni tatizo sugu Kwa hizi 4xl ,yaani ikizima ni matanga na msiba moja kwa moja , hazirekebishiki.
Pia zinapoteza charge storing ability ni ndogo sana.
Mimi Bado ni mdau wa pixel any one with a recommendation kuhusu pixel ipi inaweza kuwa na lesser complications .
Lakini pia Kwa wazoefu wa kuagiza simu nchi kama UK na USA uzoefu wao utakuwa very much appreciated.
 
Pixel ina matatizo mengi na sumbufu kuanzia software bugs mpaka hardware faults.

Sababu kubwa ambayo nahisi pengine ndio chanzo, huwenda kwakua hizi simu tulio wengi tumezinunua zikiwa katika hali ambayo sio mpya.

At leats kwenye case ya hardware tunaweza kuhitimisha kuwa hizi simu nyingi ni second hand hatujui hao watumiaji wa mwanzo walizifanyaje.

Ila issue ya bugs kama line kuacha kusoma "temporarily unavailable", "battery question mark" hayo ni maswali ambayo mpaka sasa nimeshindwa kuyapatia majibu.
 
Back
Top Bottom