rungweyetu
Member
- Jul 12, 2013
- 21
- 17
Umeshuka sana nduguUkifika 370 nicheki pm
Sawa, nitalipiaLipia tangazo
Sawa ndugu, watakuja wahitaji siunajua watu tunatofautiana mambo mengiLaki 5 sim ya kazi gani bro halafu yenyewe itaniingizia sh ngapi... Mim natumia kitecno cha batan chenye opera min na maisha yanasonga...
Maskini bhana πLaki 5 sim ya kazi gani bro halafu yenyewe itaniingizia sh ngapi... Mim natumia kitecno cha batan chenye opera min na maisha yanasonga...
Ni changamoto tuMaskini bhana π
Maskini bhana
Umasikini ni laana aisee π tupambane kuondoa hii laana.Ni changamoto tu
Ongezea kidogo ndugu tufanye biashara390K
Ni kweli kabisa nduguUmasikini ni laana aisee π tupambane kuondoa hii laana.
Karibu sana
TAFUTA PESA BOSSππLaki 5 sim ya kazi gani bro halafu yenyewe itaniingizia sh ngapi... Mim natumia kitecno cha batan chenye opera min na maisha yanasonga...
Kiasi Gani hiyo pesa unayotaka niitafute tajiri yanguTAFUTA PESA BOSSππ