Matendo Andrew
JF-Expert Member
- Apr 1, 2014
- 748
- 367
Wadau mimi kwa majina ni Matendo Andrew ni Gospel singer, lakini hapa nimekuja kama Manager wa Matendo Andrew. Nahitaji mtu au kampuni nifanye nayo kazi, kazi ni hii hapa. Nimesha record album yenye nyimbo 18 audio na video album ina nyimbo 8.
Nipo na rafiki yangu fulani ambae nilimshawishi kufanya nae biashara hii yaani mimi nilitoa mawazo ya hii biashara na yeye nikamshawishi awekeze pesa, tumefanikiwa kurecord kama nilivyo sema hapo juu, lakini nilipo mshawishi tuandike mkataba wa makubaliano juu ya ku share huku ali sua sua mpaka leo sijui kwa nini.
Nyimbo zipo radio na tv, baadhi, na COSSOTA nimesha sajili, nikaandaa bajeji ya uzinduzi na kopi za kuanzia biashara yetu nikampa tukakubaliana tutazindua kabla ya Pasaka, lakini naona siku zimeisha na hakuna chochote kinacho endelea. Japo napata tetesi kwamba hali yake kifedha sio nzuri kwa sasa.
Sasa wadau mimi hii ndio nilisha ianza na kwamba itakua ndio kazi yangu japo nina proffesion nyingine, nashindwa kuendelea mbele kwasababu yeye ndio alikua muwezeshaji wa mambo yote ili mwisho wa siku tufanye biashara hii vizuri na kwa faida najua mnajua ilivyo na maslai ikifanywa vyema. Sasa mimi nahisi huyu rafiki yangu alikua ananisaidia tuu kuinua huduma yangu ya uimbaji na sio na yeye kuhitaji kutengeneza faida.
Sasa nimepata wazo la kutafuta mtu mzoefu wa biashara hii, tukutane akague bidhaa hii, aangalie jinsi gani itaingia sokoni halafu mimi nita mkutanisha na mwekezaji wa mwanzo ili wawe wame share bidhaa iende sokoni, na tutapanga jinsi gani biashara itafanyika.
Kwa kifupi saana ndio hivyo, angalia video mbili youtube kwa kuandika Matendo Andrew Usinipite na Matendo Andrew Ndani ya yesu, au tembelea http://matendomgeni.blogspot.com/ usikilize baadhi ya nyimbo au nicheck whatsup kwa 0759 83 93 10 nikutumie audio na tuwasiliane zaidi kwa 0714 04 50 80.
ASANTE.
Nipo na rafiki yangu fulani ambae nilimshawishi kufanya nae biashara hii yaani mimi nilitoa mawazo ya hii biashara na yeye nikamshawishi awekeze pesa, tumefanikiwa kurecord kama nilivyo sema hapo juu, lakini nilipo mshawishi tuandike mkataba wa makubaliano juu ya ku share huku ali sua sua mpaka leo sijui kwa nini.
Nyimbo zipo radio na tv, baadhi, na COSSOTA nimesha sajili, nikaandaa bajeji ya uzinduzi na kopi za kuanzia biashara yetu nikampa tukakubaliana tutazindua kabla ya Pasaka, lakini naona siku zimeisha na hakuna chochote kinacho endelea. Japo napata tetesi kwamba hali yake kifedha sio nzuri kwa sasa.
Sasa wadau mimi hii ndio nilisha ianza na kwamba itakua ndio kazi yangu japo nina proffesion nyingine, nashindwa kuendelea mbele kwasababu yeye ndio alikua muwezeshaji wa mambo yote ili mwisho wa siku tufanye biashara hii vizuri na kwa faida najua mnajua ilivyo na maslai ikifanywa vyema. Sasa mimi nahisi huyu rafiki yangu alikua ananisaidia tuu kuinua huduma yangu ya uimbaji na sio na yeye kuhitaji kutengeneza faida.
Sasa nimepata wazo la kutafuta mtu mzoefu wa biashara hii, tukutane akague bidhaa hii, aangalie jinsi gani itaingia sokoni halafu mimi nita mkutanisha na mwekezaji wa mwanzo ili wawe wame share bidhaa iende sokoni, na tutapanga jinsi gani biashara itafanyika.
Kwa kifupi saana ndio hivyo, angalia video mbili youtube kwa kuandika Matendo Andrew Usinipite na Matendo Andrew Ndani ya yesu, au tembelea http://matendomgeni.blogspot.com/ usikilize baadhi ya nyimbo au nicheck whatsup kwa 0759 83 93 10 nikutumie audio na tuwasiliane zaidi kwa 0714 04 50 80.
ASANTE.