Kuna wakili toka sauzi anakuja kuweka ishu sawa....
yap.tena hii kesi ndio rahisi sana kwani marehemui hana haki. arusha wamenunua huku kukiwa hakuna marehemu sembuse marehemu tena.
hata kama mahakama itamkuta na hatia,nazani atakuwa na kesi ya man slouhgter sio murder case.
Huyu dogo akae behind bar kwa muda jaman ili akitoka akili yake iwe sawa! atakuwa amekuwa ss. R.I.P THE GREAT!
huyu mtoto jeuri, akiachiwa kwa hilii atajenga kiburi cha ajab sana. Kwa kumsaidia yeye lulu inatakiwa akae segerea hata miez kadhaa.
kaua tu...