Mamzalendo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 1,670
- 558
hahaha! point...............!!!!Kanumba the great (RIP) and Lulu!
What a marvelous combination!
Ile kitu haina adabu kabisa, hata great Kings and Queens have fallen for it,
Huyu dogo akae behind bar kwa muda jaman ili akitoka akili yake iwe sawa! atakuwa amekuwa ss. R.I.P THE GREAT!
jamani hizi ni tetesi ..kuna madon yapo tayari kutumia mipesa yao kibao ili haka katoto kasiende kuwa chakura ya askari magereza
Kama ni bahati mbaya watu wanaweza ku compromise na hilo swala.
Nina amani kwamba hata kama ameua (mahakama ndio yenyewe uwezo wa kuthibitisha), basi ni kwa bahati mbaya.
Tumeshapoteza maisha ya mmoja,. kuna haja ya kuharibu ya mwingine?
Just thinking aloud, hilo litategemea ndugu wa marehemu na polisi (bila kusahau huyo mwenye fungu).
Si unakumbuka Chenge aliua na ikaiishia hivi hivi?????:shock:
Watu mnakosa umakini na weledi katika mambo ya msingi..hata aje nani huyu binti hatoki ndani yaaani jtano anapandishwa kizimbani...anastahiki kunyongwa mpaka kufa..mwana huyu kalaanika na huo ndo mshahara wake..
msameeni mtoto wa watu jaameni maana hakutegemea, kifo ni kwa kila binadamu so siku yake imefika na hata huyo mtoto akitoka leo atakua anajuata kwa kusababisha kifo cha kanumba the great, bt for me she is innocent person, kukimbia ni kuepusha shari,tuwe wakweli wanajamii fr.
kaua tu...
ndo yuko nje mkuuWatu mnakosa umakini na weledi katika mambo ya msingi..hata aje nani huyu binti hatoki ndani yaaani jtano anapandishwa kizimbani...anastahiki kunyongwa mpaka kufa..mwana huyu kalaanika na huo ndo mshahara wake..