D drgeorge Member Joined Jun 22, 2009 Posts 99 Reaction score 23 Jun 11, 2011 #1 Naombeni msaada wa uchambuzi wa mwongozo huu je upo safi kabisa?View attachment GOVERNMENT NOTICE No. 178 OF 12 JUNE, 2009.docx
Naombeni msaada wa uchambuzi wa mwongozo huu je upo safi kabisa?View attachment GOVERNMENT NOTICE No. 178 OF 12 JUNE, 2009.docx
Nanren JF-Expert Member Joined May 11, 2009 Posts 3,135 Reaction score 3,392 Jun 11, 2011 #2 drgeorge said: Naombeni msaada wa uchambuzi wa mwongozo huu je upo safi kabisa?View attachment 31815 Click to expand... Naona madenti wamezuiliwa kujihusisha na siasa. Serikali itamestukia kwamba wanafunzi wakiwa huru, sio tu wanaenda Chama tawala, bali pia wanaenda hata kwenye vyama vya upinzani. Kwa hiyo dawa ni kupiga marufuku siasa.
drgeorge said: Naombeni msaada wa uchambuzi wa mwongozo huu je upo safi kabisa?View attachment 31815 Click to expand... Naona madenti wamezuiliwa kujihusisha na siasa. Serikali itamestukia kwamba wanafunzi wakiwa huru, sio tu wanaenda Chama tawala, bali pia wanaenda hata kwenye vyama vya upinzani. Kwa hiyo dawa ni kupiga marufuku siasa.
Chimunguru JF-Expert Member Joined May 3, 2009 Posts 10,678 Reaction score 4,370 Jun 11, 2011 #3 Upuuzi mtupu na woga wa kijinga huo!!