Government Procurement Services Agency kuna mchezo gani unaendelea hapo?

Bosco Ntaganda

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2012
Posts
710
Reaction score
289
Ndugu zetu maofisa wa GPSA (Government Procurement Services Agency) kunani? Mbona taratibu za kutoa majina ya wazabuni zimechukua muda mrefu mno kipindi hiki?
Ama kuna wajanja wanachelewesha kwa sababu zao za kimaslahi?
 
dogo mbona unalalamika? kwani lazima ufanye biashara na serikali tu? kamata fursa nyingine aisee, wewe una pesa ya kushindana na rostam?
acha mambo ya kijinga, hizo tenda wenzako walishapewa kitambo, watatoa majina wakati kazi zote wameshagawana, chezea bongo wewe. ng'ombe we!
 

Wewe bwana ni mdau wa huu uozo wa GPSA? Toeni hayo majina ya wazabuni mapema bana, ili watu wapate muda wa kujiandaa basi. Ama mnawatengenezea njia watu wenu kwakuchelewesha kutangaza majina ili mkija tangaza hayo majina watu wenu wanakua tayari walisha chukua kazi? Halafu mods mbona mmelala? Huyu jamaa alipigwa ban la maisha, imekuaje amerudi tena?
Angalia ameanza kuchafua hali ya hewa tena, NG'OMBE WEWE MWENYEWE NA FAMILIA YAKO.
 
Ndugu zetu maofisa wa GPSA kunani? Mbona taratibu za kutoa majina ya wazabuni zimechukua muda mrefu mno kipindi hiki?
Ama kuna wajanja wanachelewesha kwa sababu zao za kimaslahi?
Bosco, mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni!, Tangazo hili liko kwenye website ya GIPSA tangu tarehe 6/4/2014!.

[h=2]NOTICE OF INTENTION OF AWARD[/h]
Created on Monday, 30 June 2014 10:50Last Updated on Thursday, 10 July 2014 10:49Written by Lekhanditsove AbelHits: 649

04/06/2014
NOTICE OF INTENTION OF AWARD
Re: Tenders for Supply and Provision of Common Use Items and Services using Framework Agreements for the period of 2014/15-2016/17
Following the invitation for tenders issued on 17[SUP]th[/SUP] March,2014 ,we intend to award Framework Agreements to the successful tenderers and notify unsuccessful tenderers.
Pursuant to regulation 231(2) of Public Procurement Regulations,2013,I hereby notify all tenderers who participated in the above mentioned tenders that,the names of successful and unsuccessful tenderes with reasons for rejection are hereunderlisted.
In this regard, notification of acceptance to successful tenderers and rejection of unsuccessful tenderers will be communicated after fourteen days from the date of this notice.

To get the names of successful and unsuccessful tenderers click at the respective tender.

1. Tender No.AE/005/HQ/FA/2014/15-2016/17/NC01 for Provision of Catering Services. Click here
2. Tender No.AE/005/HQ/FA/2014/15-2016/17/NC02 for Provision of Conference and Related services. click here
3. Tender No.AE/005/HQ/FA/2014/15-2016/17/NC03 for Provision of Cleaning services. click here
4. Tender No.AE/005/HQ/FA/2014/15-2016/17/NC04 for Provision of Fumigation services. click here
5. Tender No.AE/005/HQ/FA/2014/15-2016/17/NC05 for Provision of Security services. click here
6. Tender No.AE/005/HQ/FA/2014/15-2016/17/NC06 for Provision of Air Travel and Hotel Reservation services. click here
7. Tender No.AE/005/HQ/FA/2014/15-2016/17/NC07 for Provision of Transport and Handling services. click here
8. Tender No.AE/005/HQ/FA/2014/15-2016/17/NC08 for Provision of Service and Maintenance of Office Equipment. click here
9. Tender No.AE/005/HQ/FA/2014/15-2016/17/NC09 for Provision of Service and Maintenance of Fire Fighting Equipment. click here
10. Tender No.AE/005/HQ/FA/2014/15-2016/17/NC10 for Provision of Grinding and Milling services. click here
11. Tender No.AE/005/HQ/FA/2014/15-2016/17/NC11 for Provision of Service and Maintenance of Elevators. click here
12. Tender No.AE/005/HQ/FA/2014/15-2016/17/NC12 for Provision of Service and Maintenance of Fire Security Systems. click here
13. Tender No.AE/005/HQ/FA/2014/15-2016/17/NC13 for Provision of Hiring Photocopying services. click here
14. Tender No.AE/005/HQ/FA/2014/15-2016/17/NC14 for Provision of Internet services. click here
15. Tender No.AE/005/HQ/FA/2014/15-2016/17/NC15 for Provision of Documentary services. click here
16. Tender No.AE/005/HQ/FA/2014/15-2016/17/NC16 for Provision of Insurance Brokerage services. click here
17. Tender No.AE/005/HQ/FA/2014/15-2016/17/G01 for Stationery and Office Supplies . click here
18. Tender No.AE/005/HQ/FA/2014/15-2016/17/G02 for Office Equipment and Consumables. click here
19. Tender No.AE/005/HQ/FA/2014/15-2016/17/G03 for Furniture and Fittings. click here
20. Tender No.AE/005/HQ/FA/2014/15-2016/17/G04 for Cleaning Material and Supplies. click here
21. Tender No.AE/005/HQ/FA/2014/15-2016/17/G05 for Motor Vehicle Accessories. click here
22. Tender No.AE/005/HQ/FA/2014/15-2016/17/G06 for Food and Beverages. click here
23. Tender No.AE/005/HQ/FA/2014/15-2016/17/G07 for Uniform, Beddings, Sports Gears and Textile Materials. click here
24. Tender No.AE/005/HQ/FA/2014/15-2016/17/G08 for Laboratory Supplies. click here
25. Tender No.AE/005/HQ/FA/2014/15-2016/17/G09 for Kitchen Appliances. click here

26. Tender No.AE/005/HQ/FA/2014/15-2016/17/G10 for Building Materials, Machinery and Hardware. click here
27. Tender No.AE/005/HQ/FA/2014/15-2016/17/G11 for Fire wood. click here
28. Tender No.AE/005/HQ/FA/2014/15-2016/17/G12 for Fuels and Lubricants. click here
29. Tender No.AE/005/HQ/FA/2014/15-2016/17/G13 for Textbooks for schools and Teaching Colleges. click here

ISSUED BY:
CHIEF EXECUTIVE OFFICER
GOVERNMENT PROCUREMENT SERVICES AGENCY
Pasco
 
Mkuu PASCO hii list imewekwa tarehe 10/07/2014 baada ya sisi wadau kuanza kulalamika, acha kutetea urasimu unaofanywa na baadhi ya Watendaji muhimu wa Serikali. Unataka kuwaaminisha watu kwamba haya majina yalikuwepo tangu tarehe 06/04/2014? Acha ushabiki kwenye mambo ya msingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…