Serikali za county wana zile roles zilizopewa kikatiba. Kwa mfano, serikali ya county ya Mombasa ina power ya kupatia maduka lesseni, hivyo inamaanisha wanaweza kuamuru maduka yote ya muguka yafungwe. Lakini power yao yaishia hapo. Hawewezi kumshtaki mtu anayesafirisha, kuuza au kutumia muguka, kwa maana muguka ni halali kwa sheria za inchi