Govt mulls desalination to boost water supply

Govt mulls desalination to boost water supply

KVM

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2011
Posts
1,852
Reaction score
931
Tanzania haiachi kushangaza. Mawaziri na watendaji wetu wengi wa serikali ni mizigo mikubwa kabisa kwa Watanzania. Prof. Magembe anasema kuwa Tanzania inafikiria kuchuja maji ya bahari ili yatumike na Watanzania. Miradi kama hiyo inagharimu pesa nyingi sana kuliko kuweka bwawa Vidunda na kuyapeleka DSM na nadhani itakuwa ni afadhali vilevile kuchukua maji kutoka Rufiji kwa ajili ya DSM.


Home
 
Back
Top Bottom