Kuwa mzalendo si kutetea uovu. Hata kama serikali haikuhusika moja kwa moja, kuna watu waliokuwa/wenye ngazi za juu serikalini waliohusika. Membe angesema tu kuwa haikuwa sera ya serikali kuwapa silaha wapinzani na kwamba itapeleleza shutuma hizo angekuwa more diplomatic. Lakini kwa kukanusha kwa lugha kali ni kama amemwaga mafuta kwenye moto.
Queen
The lady doth protest too much, methinks.
Hamlet Act 3, scene 2, 222–230
Mawazo Mgando kama haya ndio yanawafanya Mafisadi wazidi kuimaliza Tanzania huku wananchi wenyewe wakiwa wanakenua midomo na kuwapigia makofi. Yaani inatia aibu kuona baadhi yetu wana ukomo wa akili na fikra mithili ya udogo wa sisimizi. Jamani hebu tokeni kwenye usingizi mzito mithili ya Pono ndani ya bahari, kuizuia akili yako kuwa na akili kuna madhara makubwa kuliko hata upungufu wa chembechembe za kinga mwilini kwa mgonjwa mahututi wa ukimwi.its a big issue here, i wondre if thid report is true or not but what i think, is not true these reporters do not know very well about tanzanian, our country is THE ISLAND OF PEACE we cannot do that.
Mjadala huu umekosa uzalendo kwa kiasi kikubwa na wengi wenu mko tayari kuamini wachonganisha wa kimataifa na kuliacha Taifa lenu kwenye matatizo makubwa...this is nonsense na kila mwenye harufu ya uzalendo lazima ajitahidi kuipinga .
Mzee Mwanakijiji; with due respect, I beg to differ.hakuna cha apology wala nini; tulishaandika haya miaka imepita. kama wanataka apology watuambie kwamba Meremeta ni aje?
Uzalendo utoke wapi hivi hii serikali tuliyo nayo inashindwa nini kufanya kwenye michezo michafu kama hata jeshi linauziwa helicopter, silaha, malori mabovu? Na tunajuaje kama hiyo miradi wanayoiita ya Jeshi kama Meremeta ilijumuisha silaha pia?Out of point, meremata inahusikaje hapa..watu mliokosa uzalendo kama nyinyi hamna maana kabisa shame on
Kazi kwelikweliduh!
Nakumbuka issue ya dili ya vitambulisho Membe alikuja juu na ikabidi ASSA MWAMBENE aje humu kumtetea
na wakawa wanapokezana na BALILE sasa sijui wamepotelea wapi...
please eclude me in this one. I am ready to stand alone if need betumeanza kuwa kama Wamarekani! tunalia na kushangilia "nchi yangu, nchi yangu" huku inafanya mambo ya kijinga duniani; huu ni uzalendo wa kipumbavu!