Govt subsidy to cut 2kg maize flour packet to Sh90 in 24hrs

Tatizo wewe unaishi na Kunenepa Tz na huijui Tz,
Wateja wa processed Unga Tz ni wachache, na wapo kwenye Major Towns only.
Most People they process Maize Locally na Kupata unga,
Hata Mimi huwa natumiwa mahindi toka kijijini na nikipeleka kwenye Mashine nakaa na unga Muda mrefu kwaiyo hizo bei sizijui na kwa sehemu kubwa Watz wanaishi hivi.
Hizo bei za 1800/- wanakumbana nazo urban Population ndogo Sana ya Tz,
Ndio maana husikii vilio.
Hatupangiwi na hatupimiwi Unga sisi,
Tunajipangia..
 

Tatizo mkibanwa mnaishia kuyumba, hayo mambo ya kusaga mahindi wenyewe ni jambo la kawaida hata hapa Kenya, hususan vijijini. Hapa tunajadili mambo ya unga madukani ambayo yamefuata mfumo wa kiuchumi na kitaalam.
 
tofauti juu wafuasi wake kama wewe mnakataa kulipa nyumba na sehemu kama kibera nyie waluo mnafukuza wakikuyuyu wenye hizo nyumba
Atleast we DONT SLAUGHTER BLACK GOATS TO CAST DIE CURSES ON THOSE THAT DONT SUPPORT RAO...WATU WA MLIMA NEVER CEASE TO AMAZE...IS SK MACHARIA DEAD FROM THE CURSES YET??
 

Corridors of Power
May. 16, 2017, 12:45 am
By POLITICAL DESK
Agriculture CS Willy Bett./MATHEWS NDANYI
Social media has been abuzz this week with pregnant questions as to why Agriculture CS Willy Bett flew all the way to the coastal town of Mombasa to ostensibly receive a consignment of maize from Mexico, if at all the grain was imported by private millers as he claimed. The CS had told the nation that the maize was imported by businessmen and not the state, as widely speculated, but forgot that his very actions, including standing guard as the off-loading was being done, were endorsements of a government affair. Rarely do senior government officials at the level of a CS burn taxpayers’ money to go and receive private investment consignments. Isn’t this another portal of lies that may sooner rather than later bring the chickens home to roost? Well, only time will tell as Jubilee’s next grand scandal unfolds.
 
Unga Tz ati ni punch waa 500 yote?????
Lakini wakenya wengi wanakula ugali, theirs are people in Kenya who will go into a period of stress and sadness if they only ate rice,chapatti ,pasta but not Ugali for a whole week. Their is a significant number of the population that can't live without Ugali, ukimpatia muhogo,mchele n.k atakula ok for one day, next day he will demand his Ugali! Even Kenyans in diaspora carry unga with them, there are even Kenyan supermarkets/sţores that have started selling Kenya/east african goods, unga, omens...
 
my favorite dish ni ugali, skuma wiki mixed with spinach, nyama fry, ovacado na maziwa mala ya brookside🙂
 
my favorite dish ni ugali, skuma wiki mixed with spinach, nyama fry, ovacado na maziwa mala ya brookside🙂
Eh, you don't say!
Ugali skuma wiki yenye mafuta mingi..
Ugali, choma au nyama fry au na tomato kidogo ikue soucy

Ugali, kachumbari alafu uchukue samaki mkavu (deep fried) uchanganye hapo ndani ya kachunbari na pili pili...

Ugali samaki wa nazi na pilipili zengine tudogo humea coast pekee...heheh hata upike ugali kiasi gani, itaisha tu! Hapo ndo utajua 'Jenga mwili, haribu jina' inamaa isha nini
 
Tatizo mkibanwa mnaishia kuyumba, hayo mambo ya kusaga mahindi wenyewe ni jambo la kawaida hata hapa Kenya, hususan vijijini. Hapa tunajadili mambo ya unga madukani ambayo yamefuata mfumo wa kiuchumi na kitaalam.

Kwani ya kusaga individuals mashineni hayajafuata uchumi wa kitaalam??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…