so pale kwenye cheti huwa inawekwa agregate ya performance ya miaka yote the GPA huwa ni ya mwaka wa tatu tu au na GPA pia ni ya miaka yoyote?..ufafanuzi kidogo mkuu!miaka yote mitatu kila semister bt final year watatafuta average ya GPA zote mkuu!!
Mkuu nilichotaka kujua ni GPA ya miaka yote huwa inawekwa kwenye cheti au ni ya baadhi ya mwaka mfano mwaka wa tatu tu?..na je kama ni ya mwaka wa tatu tu performance za miaka mingine huwa zinawekwa tu kwenye cheti pasipo kuhesabiwa gpa zake na kujumuishwa na zile za mwaka wa tatu?Umeuliza vitu viwili tofauti,,Kila semister kuna gpa na kila mwisho wa mwaka wa masomo kuna gpa ya mwaka hiyo ndo itaonesha kama unafaa kuendelea na chuo au la kwa mujibu wa sheria za chuo husika.
Pili gpa ya kwenye cheti huwa inapatikan baada ya kupata majibu yako ya mtihani wa mwisho wa kumaliza chuo...
Tatu kama umepata sup kadhaa itatafutwa gpa yako then utapatiwa statement of results/provisional results......ukipiga sup ukafulu utapewa transcript....itategemea na sheria za chuo husika kupata cheti cha kuhitimu kama udsm unapata cheti mwaka mmoja baada yabkuhitimu elimu husika..
Karibu
Heshima kwenu wanajamvi!!!...Ningependa kufahamu huu mfumo wa GPA kwa level za degree hususani ile ya uhasibu huanza kuhesabiwa mwaka wa ngapi na kuwekwa kwenye cheti??..je huhesabiwa kwa miaka yote mitatu? au je ni mwaka wa pili na wa tatu tu? Au ni ule mwaka wa mwisho tu yani wa tatu?
Mkuu nilichotaka kujua ni GPA ya miaka yote huwa inawekwa kwenye cheti au ni ya baadhi ya mwaka mfano mwaka wa tatu tu?..na je kama ni ya mwaka wa tatu tu performance za miaka mingine huwa zinawekwa tu kwenye cheti pasipo kuhesabiwa gpa zake na kujumuishwa na zile za mwaka wa tatu?