Inakuwaje TCU iwanawapa uhuru vyuo vikuu hapa nchini kujipangia kuwa PASS ianze na kuendelea? Mfano mahususi ni vyuo vya watu binafsi kama SAUTI,JOSIAH KIBIRA NA MAKUMIRA ambapo 'C' HUANZA NA 50 angali wakijua kuwa hawana resourse za kutosha kuhakikisha kuwa wanafunzi wanafikia alama hizo za ufaulu,kinachoonekana baadaye ni watu kukosa ajira maana GPA ni ndogo ukilinganisha na ya mwanafunzi wa UDSM ambapo WAO "c" huanza na 40 na akapata GPA nzuri tu.:bange: :bange:​