Grade za mikopo first year udsm hadharani.

KYALUMUKUNZA

Senior Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
145
Reaction score
28
:israel: Kwa wale wenye shauku kubwa ya kutaka kujua umepangiwa daraja la ngapi na bodi ya mikopo kwa wanafunzi wa mwaka kwanza udsm yaani 2012/13 angalieni mwisho wa matokeo yenu ya o-level kulia mtaona alama A,B,C,D......
ikimaanisha ni asilimia ya kiwango cha mkopo utakacholipiwa na bodi ya mikopo kazi kwenu kuperuziii.
 
Mi mbona kwangu con ki2 mkuu vp joining zimeshatoka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…