Grader Vs Excavator

Grader Vs Excavator

Sule the don

Member
Joined
Jul 28, 2013
Posts
52
Reaction score
2
Kati ya hizo ipi soko lake la ajira lipo juu na maslahi yake yako aje? na ipi inafaa kuisoma
 
Kati ya hizo ipi soko lake la ajira lipo juu na maslahi yake yako aje? na ipi inafaa kuisoma

Wataka kujifunza kuwa operator?
Dhahiri kujifunza na kufanikiwa kuwa operator wa grader ni ngumu. Kwenye ajira kwa mwendesha grader ina malipo makubwa kuliko mitambo mingine mingi ya ujenzi wa barabara.
 
Kwa kweli kama ni kusomea usichague somea zote maana ukienda kuomba kaz kwenye mirad ya gas, excavator inatumika zaid na ukija kwenye barabara zinatumika zote..
 
hakuna chuo wanafundisha excavator au grader pekee bali wanafundisha kitu kinaitwa heavy equipment operator ambapo zimegawanyika sehemu mbili kuna lifting na construction ukisoma lifting utasoma folklift na crane ukisoma construction utasoma excavator grader bull doser, roller lakini vyuo hivyo havipo hapa nchini
 
hakuna chuo wanafundisha excavator au grader pekee bali wanafundisha kitu kinaitwa heavy equipment operator ambapo zimegawanyika sehemu mbili kuna lifting na construction ukisoma lifting utasoma folklift na crane ukisoma construction utasoma excavator grader bull doser, roller lakini vyuo hivyo havipo hapa nchini

Si kweli mkuu,chuo kipo VETA dakawa-morogoro na unaweza ukachagua unachotaka kujifunza,iwe grader,excavator,wheel loader e.t.c,nina ushahidi wa madogo wawili walishapata mafunzo pale na sasa hivi wapo kwenye miradi wanapiga mzigo uzuri kabisa!
 
Fanya kunipa namba ya chuo au ya hao madogo niwaulze vzr hata ww pia waweza nieleza
 
Back
Top Bottom