Research ni kwa mazingira ya USA
Bongo mtu anakuwa senior baada ya kufanyakazi just miaka 3 wakati USA hata sio intermediate is still Junior.
Ingawa kuna baadhi ya point ziko valid kwote mfano kuna baadhi ya fani za engineering you dont need masters degree in a job market badala yake experience ndio inyotakiwa further degree only if you want to be academician