Graduate wa chuo, tafuta documents zifuatazo omba passport ya kusafiria nenda Ulaya ukapate ramani ya maisha yako

Wanaenda kutalii, kufanya kazi, kufanya show, ku-volunteer, au kusoma? Maana application ya Visa zipo kwenye categories tofautofauti na si kila anaeenda huko anakibali cha kwenda kufanya makazi
Rafiki yangu ameenda mwezi wa tano baada ya maisha ya bongo kuwa magumu upande wake nilikua namtia moyo kila siku. Hivi navyokwambia yupo huko na maisha yake yamebadilika. Sio huyo tu kuna mwingine pia ameenda juzi sababu ni hiyohiyo juzi. Tatizo watanzania ni wavivu wa kuomba scholarships, scholarships zipo ni bure na watu kibao wanapata.
 
Huko ulaya unaenda kwa ungo ama?
 

Bless
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…