Graduate yupi bora?

Graduate yupi bora?

njoro

Senior Member
Joined
Dec 21, 2010
Posts
178
Reaction score
8
Graduate yupi bora kati ya huyu wa Mzumbe alienda field miezi 3,na huyu wa UDSM alienda field mwezi 1 na nusu,.,naomba msinishambulie mimi bali mshambulie thread,nawasilisha.
 
Labda ungebainisha field sehemu gani... kuna sahemu wanapiga kazi ukikaa
mwezi mmoja unagain ile mbaya... alafu kuna sehemu una kaa miezi mitatu
kazi unayofanya ni ku browse na ku supply chai...

Alafu swali lako ni assumption au?? Nani kasema UDSM Field mwezi na nusu??
Hio wameweka in the basis ya wale ma Dr/Proff wanaopita, but ukwelli ni kua
inatakiwa more than huo mda...
 
Labda ungebainisha field sehemu gani... kuna sahemu wanapiga kazi ukikaa mwezi mmoja unagain ile mbaya... alafu kuna sehemu una kaa miezi mitatu kazi unayofanya ni ku browse na ku supply chai...Alafu swali lako ni assumption au?? Nani kasema UDSM Field mwezi na nusu??Hio wameweka in the basis ya wale ma Dr/Proff wanaopita, but ukwelli ni kuainatakiwa more than huo mda...
mambo ya chai na kubrowse achana nayo,me na assume wote wamenda field kujifunza na wote wanapga kazi,je ni nani atatoka bora zaidi?
 
mambo ya chai na kubrowse achana nayo,me na assume wote wamenda field kujifunza na wote wanapga kazi,je ni nani atatoka bora zaidi?

Sasa Njoro kama unazungumzia woote waloenda sehemu
moja alafu mda ndio huo tofauti mbona ni wazi kua bora alokaa saana...
Nilifikiri umeweka thread ili kujadili period ya ya field activity....
 
Ndugu,

Mwanafunzi anapoenda kwenye kazi kwa vitendo aidha maofisini au viwandani,ni ili afundishwe jinsi ya kufanya kazi,hapo hakuna aliye bora kwa mwenzake,baada ya kumaliza kazi kwa vitendo na kufanyiwa taathmini na wasimamizi wake kwa kutumia vigezo vilivyo wekwa ndio unaweza kuhukumu kuwa yupi ni bora kuliko mwingine kwa njia ya kusoma ripoti/taarifa zao walizo andika,Vinginevyo muda sio kigezo cha kupima ubora,kama ni muda tungesema wale wanafunzi wanaosoma digrii zao kwa miaka mitano ni bora kuliko wale wanaosoma miaka mitatu,Kwa hiyo cha msingi hapa ni kujiuliza kuwa mwanafunzi alipokuwa field je aliweza kufikia malengo yake.
 
swali lako alina uhalisia kwa maana ya mda wenyewe wa field,rekebisha afu upost tena.....ila kwa msaada wa haraka wanafunzi wa udsm always ni the best.
 
swali lako alina uhalisia kwa maana ya mda wenyewe wa field,rekebisha afu upost tena.....ila kwa msaada wa haraka wanafunzi wa udsm always ni the best.
kufanya kitu kwa muda mrefu kunasaidia mtu kuwa na uelewa mkubwa zaidi,.mfano mtu mwenye experience ya miaka mitano kazini hawezi kuwa sawa na mwenye mwaka mmoja,me naona Mzumbe ni the best
 
Ndugu,Mwanafunzi anapoenda kwenye kazi kwa vitendo aidha maofisini au viwandani,ni ili afundishwe jinsi ya kufanya kazi,hapo hakuna aliye bora kwa mwenzake,baada ya kumaliza kazi kwa vitendo na kufanyiwa taathmini na wasimamizi wake kwa kutumia vigezo vilivyo wekwa ndio unaweza kuhukumu kuwa yupi ni bora kuliko mwingine kwa njia ya kusoma ripoti/taarifa zao walizo andika,Vinginevyo muda sio kigezo cha kupima ubora,kama ni muda tungesema wale wanafunzi wanaosoma digrii zao kwa miaka mitano ni bora kuliko wale wanaosoma miaka mitatu,Kwa hiyo cha msingi hapa ni kujiuliza kuwa mwanafunzi alipokuwa field je aliweza kufikia malengo yake.
Me naona maoni yako yamekaa kinadharia zaidi,.mtu anaekifanyia kitu/au anaefanya kazi fulani kwa muda mrefu anakua bora zaidi ya yule ambaye amefanya kwa muda mfupi,na mtu anapokaa kwenye kazi kwa muda mrefu anapata nafasi ya kujifunza vitu vipya kuliko yule alieka kwa mwezi na nusu
 
Graduate bora atajulikana mara baada ya kumaliza masomo yake atakapoanza kutumia elimu aliyoipata katika maisha halisi na kuweza kutoa mazao yakuleta faida katika taasisi anayoifanyia kazi na jamii inayomzunguka kwa ujumla.
 
Graduate yupi bora kati ya huyu wa Mzumbe alienda field miezi 3,na huyu wa UDSM alienda field mwezi 1 na nusu,.,naomba msinishambulie mimi bali mshambulie thread,nawasilisha.
mzumbe kozi gani,maana ukitoa law na education,wengine hawaendi field miezi 3-ni almost miez 4-na mtu akiamua anaweza kuwahi kuanza field akafanya zaid ya miez 5
 
Graduate bora atajulikana mara baada ya kumaliza masomo yake atakapoanza kutumia elimu aliyoipata katika maisha halisi na kuweza kutoa mazao yakuleta faida katika taasisi anayoifanyia kazi na jamii inayomzunguka kwa ujumla.
Where you are ! that's a point! And must be born again. All of you say "BE BORN AGAIN."
 
Unaweka mbele vyuo kuliko watu. Hujaongelea uwezo wa watu, na "ceteris paribus" is an illusion to be pursued, but never attained.

Schools don't make good graduates, good graduates make their schools.

Mwanafunzi bora atakuwa bora Mzumbe au UDSM, mwanafunzi asiyeokoleka hata umpe private utors kutoka Harvard ni bure tu.

At this point, unashindanisha degrees za mediocrity. Hawa wana historia na wako mjini, wale wako shamba.

Almost all impressive products of UDSM/ Mzumbe attained that status mostly from their own efforts.
 
Graduate yupi bora kati ya huyu wa Mzumbe alienda field miezi 3,na huyu wa UDSM alienda field mwezi 1 na nusu,.,naomba msinishambulie mimi bali mshambulie thread,nawasilisha.

Wewe Mkuu Njoro una matatizo gani? Kwa nini unauliza 'leading question'? Kuna thread umeianzisha ya vyuo bora Africa ukatuambia Makerere University ni ya 10 na UDSM ni ya 34 sasa umeshindwa nini kufahamu Mzumbe University ni ya ngapi ili ulinganishe na UDSM? Baada ya kufahamu nafasi ya Mzumbe University wewe mwenyewe utapata jibu la swali lako.
 
Mnaleta yaleyale tena, jamani kama ajira zingeangalia vyuo its obvious kuna graduates wa vyuo fulanifulani ingekula kwao but the employment market isnt like that at all, juhudi zako binafsi, uwezo wa kujidefend na kuonyesha kujiamini ndo zinaangaliwa sio chuo inatia aibu and i wonder if you are realy thinking?kila siku thread ni za ubishani chuo kipi bora,mara chuo kipi kina magraduate wazuri, mara chuo kipi maarufu wat is ol that for?kuweni serious bwana, hatuwaelewi
 
Graduate bora atajulikana mara baada ya kumaliza masomo yake atakapoanza kutumia elimu aliyoipata katika maisha halisi na kuweza kutoa mazao yakuleta faida katika taasisi anayoifanyia kazi na jamii inayomzunguka kwa ujumla.
there's a point in here! Kiukweli kabisa
 
Back
Top Bottom