Blessed Son
Member
- Apr 23, 2015
- 34
- 23
Baada ya kumaliza chuo niliamua kufungua biashara kutokana na changamoto za ajira,nikafungua biashara ya duka dogo kwa mtaji wa laki 3,nilianza na vitu vichache sana lakini muhimu kwa wateja kama vile mchele,unga,sukari,maharage,na bidhaa nyingne.
Nakumbka siku ya kwanza mauzo yalikuwa elfu nne(4) tu,sikukata tamaa,kikubwa nlikuwa nahitaj kukuza mtaji tu hata kama faida siioni kwa wakati huo.
Nilikuwa nawauliza wateja wanatka vitu gani viwepo nikawa naweka kutokana na mahitaji yao,nilianza Novemba 2014 na mpaka sasa mtaji umefikia laki 8 na mauzo hadi elfu 60 kwa siku,nahisi nimeanza kujiajiri.
Kikubwa kumtanguliza MUNGU kwa kila jambo.
Nawasilisha!!
Nakumbka siku ya kwanza mauzo yalikuwa elfu nne(4) tu,sikukata tamaa,kikubwa nlikuwa nahitaj kukuza mtaji tu hata kama faida siioni kwa wakati huo.
Nilikuwa nawauliza wateja wanatka vitu gani viwepo nikawa naweka kutokana na mahitaji yao,nilianza Novemba 2014 na mpaka sasa mtaji umefikia laki 8 na mauzo hadi elfu 60 kwa siku,nahisi nimeanza kujiajiri.
Kikubwa kumtanguliza MUNGU kwa kila jambo.
Nawasilisha!!
