MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,410
- 8,184
Dah wadau hebu mnisaidie
Hivi hii inakuaje kodi gharama sana au ? Maana nafanya kazi kwenye kampuni moja ya ukaguzi ( big 4 ) ambayo inapenda sana kuajiri vijana straight from schools.. Sasa kinachonishangaza karibu wote ambao nyumbani kwao ni hapa dar wanatokea home as kila mtu ukimuuliza inakuaje anakwambia nihame ili iweje na chumba changu home nimwachie nani ? Nilijua ni intake yetu tu as mi niliingia 2010 but hata hao walio na miaka kazaa kazini bado wanakaa home... Hivi hii inakuaje? Watoto wa mjini naombeni mnisaidie mbona hampendi kuondoka nyumbani hata mkianza kazi ni alleargy ya kujitemea au? Mbona magari mnanua tena tena kila baada ya miezi mnabadilisha magari lakini kuhama home hamtaki?
Hivi hii inakuaje kodi gharama sana au ? Maana nafanya kazi kwenye kampuni moja ya ukaguzi ( big 4 ) ambayo inapenda sana kuajiri vijana straight from schools.. Sasa kinachonishangaza karibu wote ambao nyumbani kwao ni hapa dar wanatokea home as kila mtu ukimuuliza inakuaje anakwambia nihame ili iweje na chumba changu home nimwachie nani ? Nilijua ni intake yetu tu as mi niliingia 2010 but hata hao walio na miaka kazaa kazini bado wanakaa home... Hivi hii inakuaje? Watoto wa mjini naombeni mnisaidie mbona hampendi kuondoka nyumbani hata mkianza kazi ni alleargy ya kujitemea au? Mbona magari mnanua tena tena kila baada ya miezi mnabadilisha magari lakini kuhama home hamtaki?