shida iko primary na secondary. . . . .walimu wasiposikilizwa na kutendewa kwa stahiki zao. . . . .zitafanywa kila jitihada kuanzia kubadili viwango vya ufaulu mpaka mfumo wa kuingia vyuoni!
Ukijikwaa usikimbilie kufuta vumbi ila hangaika na sababu ya kujikwaa kwako!!!