majiyashingo
Member
- Feb 2, 2011
- 44
- 2
HabarI za jioni wana JF
kutokana na ongezo la watu na umuhimu wa chakula nilikuwa nataka kuanzisha Grain milling ambayo itakuwa ikisaga unga wa mahindi na kufanya packaging kwenye mifuko ya kilo moja moja na kilo 10 na hamsini.Je kwa watalamu wa mambo haya hii biashaa mnaionaje ambapo ukilinganisha tayari kuna Giant wa kuuza unga Bakhresa?je ni rahisi kuingia kwenye soko kweli au niachane na hili wazo au ni wapo naweza kupata soko zaidi.Nategemea kusaga kwa kufuata standards zote na technologia ya juu pia.Msaada wa mawazo jamani
kutokana na ongezo la watu na umuhimu wa chakula nilikuwa nataka kuanzisha Grain milling ambayo itakuwa ikisaga unga wa mahindi na kufanya packaging kwenye mifuko ya kilo moja moja na kilo 10 na hamsini.Je kwa watalamu wa mambo haya hii biashaa mnaionaje ambapo ukilinganisha tayari kuna Giant wa kuuza unga Bakhresa?je ni rahisi kuingia kwenye soko kweli au niachane na hili wazo au ni wapo naweza kupata soko zaidi.Nategemea kusaga kwa kufuata standards zote na technologia ya juu pia.Msaada wa mawazo jamani