Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Target wabane matumizi.. nahisi ni hoteli hiyo.. au mgahawa.Graphics na kupika wapi na wapi
Nadhani over time watarealize kwamba inabidi wawe katika field zote.Hapo ktk social media expert maybe utapata ila ktk upande wa Graphics Design kwa kweli nipo ktk field ya tech sikumbuki kama nishawahi kuonana na Graphics designer wa kike.
Hiyo ishu sijui kwanini Wanawake wapo nyuma.
Nyinyi ni nani mkuu?Cc ndo hatuitajiki kabisa
Watu wapuuzi hupuuzwa bro.Target wabane matumizi.. nahisi ni hoteli hiyo.. au mgahawa.
Daaah hizi dharau hizi taaluma zinachukuliwa poa sana, si umchukue shangazi yako basi umpe kazi awe anafanya na kazi ya kukupikia6. Akijua kupika vizuri ni added advantage.
Hakuna wapo Ila ni wachache mno wanawake hawapendi sana hii makitu ya kuumiza vichwa wengi wanapenda vitu simple km kupaka kucha rangi na kubadirisha mitindo ya vywele sio kukomaa na Dreamweaver au Adobe Creative Suite tafuta km utampata Producer wa kike anaetengeneza mangoma ukimpata niletee nikatengeneze hit song kwakeHapo ktk social media expert maybe utapata ila ktk upande wa Graphics Design kwa kweli nipo ktk field ya tech sikumbuki kama nishawahi kuonana na Graphics designer wa kike.
Hiyo ishu sijui kwanini Wanawake wapo nyuma.
Ndio maana nashangaa.. Graphics Designer au hivyo Producer wa ngoma kalii sijaona.. yaan sikumbuki.Hakuna wapo Ila ni wachache mno wanawake hawapendi sana hii makitu ya kuumiza vichwa wengi wanapenda vitu simple km kupaka kucha rangi na kubadirisha mitindo ya vywele sio kukomaa na Dreamweaver au Adobe Creative Suite tafuta km utampata Producer wa kike anaetengeneza mangoma ukimpata niletee nikatengeneze hit song kwake
Akufukuzaye hakuambii tokaGraphics na kupika wapi na wapi