Graphic Designer wa Yanga apewe maua yake

babu onyango

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2023
Posts
378
Reaction score
984
Ukijaribu kufatilia contents za matukio mbalimbali pamoja na utambulisho wa wachezaji wa Yanga Afrika miaka ya hivi karibuni, Basi utagundua kuna ubunifu wa hali ya juu sana

Idara ya kidigitali ya Yanga ipo very smart kwenye uwasilishaji wa matukio yao.
Sio ajabu klabu ya Tp Mazembe walikuja kuchota maarifa kwa Yanga Afrika..

Niwashauri watani zangu wa Simba walifanyie kazi hili ili contents zao na zenyewe ziwe na mvuto hasa upande wa kutangaza wachezaji mpya
 
Ukiwa na mapenzi na timu hizi mbili automatically kila kinachafanywa na wapinzani wako kinaonekana cha hovyo, usishangae hicho kitengo cha DIGITAL hapo Yanga unachokisifia wewe mwenzio wanaona cha kawaida sana,

Uzuri wa kitu upo kichani kwa mtu
 
Wale jamaa ni kisanga yan🙌
 
USIANDIKIE MATE HEBU TUPIA PICHA TUONE UTOFAUTI WAO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…