Graphics design or Digital marketing?

Graphics design or Digital marketing?

The ice breaker

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2023
Posts
880
Reaction score
1,985
Wana Tech forum

Nijifunze skills ipi kati ya Digital marketing au Graphics design especially kwenye Motion graphics ? Kulingana na soko la Sasa kwenye nyanja hizo za technology
 
Jifunze zote kwa pamoja maana graphics design ni visual excution ya idea mbalimbali ilhali digital marketing ni zaidi kujifunza communications, strategies na tools mbali mbali za kurahisisha kazi ambazo nyingi zinaegemea katika graphics, photography and videography..

Chochote utachojifunza ni sawa japo graphic design ni nzuri zaidi maana ina wigo mpana wa kutumika katika digital na traditional platforms. Mfano ukiweza graphics, unaweza tengeneza posters , brochures hadi kadi..
 
Digital marketing - sifikirii Kama unahitaji kujifunza Ila jifunze graphic design na katika digital marketing tambua target audience mfano ukitaka kuuza cheap products Facebook ndo inafaa Ila ukitaka kuuza expensive product chagua Instagram

Persuasion skills
 
Jifunze zote kwa pamoja maana graphics design ni visual excution ya idea mbalimbali ilhali digital marketing ni zaidi kujifunza communications, strategies na tools mbali mbali za kurahisisha kazi ambazo nyingi zinaegemea katika graphics, photography and videography..

Chochote utachojifunza ni sawa japo graphic design ni nzuri zaidi maana ina wigo maana wa kutumika katika digital na traditional platforms. Mfano ukiweza graphics, unaweza tengeneza posters ,u brochures hadi kadi..
Mzee nimekusoma vizuri sana
 
Digital marketing - sifikirii Kama unahitaji kujifunza Ila jifunze graphic design na katika digital marketing tambua target audience mfano ukitaka kuuza cheap products Facebook ndo inafaa Ila ukitaka kuuza expensive product chagua Instagram

Persuasion skills
Noted.. kumbe digital marketing Haina kasheshe sana
 
Hivi kwenye swala la AI kuna kujifunza? Si ni kuwa na App husika na kutumia!
In order to get familiar with it, you should learn good commands for better results. Remember AI it's a technology.
 
Back
Top Bottom