M Mahundi Jr Member Joined May 25, 2015 Posts 33 Reaction score 6 Sep 4, 2016 #1 Ni baada ya muda gani mwajiri anatakiwa awe amemlipa mwajiriwa gratuity baada ya mkataba kuisha?
M Mahundi Jr Member Joined May 25, 2015 Posts 33 Reaction score 6 Sep 8, 2016 Thread starter #2 Mbona hamnipi majibu
Titty JF-Expert Member Joined Aug 31, 2016 Posts 571 Reaction score 912 Sep 8, 2016 #3 Minajua baada ya miaka miwili.
Tuwaseme JF-Expert Member Joined Oct 8, 2014 Posts 645 Reaction score 1,192 Sep 8, 2016 #4 Gratuity utolewa kila mkataba unapoisha.. Kabla ya ku sign mkataba mwengine unapaswa kupewa kwanza Gratuity yako ya mkataba uliopita
Gratuity utolewa kila mkataba unapoisha.. Kabla ya ku sign mkataba mwengine unapaswa kupewa kwanza Gratuity yako ya mkataba uliopita