Great State of Canada

Great State of Canada

Joined
Dec 21, 2022
Posts
66
Reaction score
167
Salaam Jamani,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza , kuna mambo ni mpaka nimeanza kuogopa, wiki 4 zilizopita Trump alimtania Canada Pm kwa kumwita Gavernor wa great state of Canada eti kwamba Canada iwe jimbo la 51 la USA.

Leo karudia tena kwamba Canada kua jimbo la 51 la USA ni idea nzur, mbaya zaidi nasikia kuna Wacanada wanaona wao kua party ya USA ni mzuka tu, sasa nimeanza kuogopa hasa ikizingatiwa Trump na Putin ni marafiki....vipi USA akimvamia Canada?

Hasa ikizingatiwa Canada ina utajiri mkubwa wa maliasili na ardhi, na je hz nch ya pili na ya tatu duniani zikiungana itakuwaje?

Naogopa sana yasije kua mambo ya crimea vs Russia hapa, naomba maoni yenu mimi nikiwa kama mpenda Amani Duniani.
 
Kipindi chake cha kwanza huyu huyu Trump aliweka wazo mezani la kuinunua Greenland. Sijui ule mpango wake uliishia wapi!

Kama vipi waichukue bongo kwa sharti waliomo automatically wapewe uraia wa US.
 
Salaam Jamani,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza , kuna mambo ni mpaka nimeanza kuogopa, wiki 4 zilizopita Trump alimtania Canada Pm kwa kumwita Gavernor wa great state of Canada eti kwamba Canada iwe jimbo la 51 la USA.

Leo karudia tena kwamba Canada kua jimbo la 51 la USA ni idea nzur, mbaya zaidi nasikia kuna Wacanada wanaona wao kua party ya USA ni mzuka tu, sasa nimeanza kuogopa hasa ikizingatiwa Trump na Putin ni marafiki....vipi USA akimvamia Canada?

Hasa ikizingatiwa Canada ina utajiri mkubwa wa maliasili na ardhi, na je hz nch ya pili na ya tatu duniani zikiungana itakuwaje?

Naogopa sana yasije kua mambo ya crimea vs Russia hapa, naomba maoni yenu mimi nikiwa kama mpenda Amani Duniani.
That will neve happen.. Urusi inaendeshwa kwa Iron fist.. anachosema Putin ndio kinakua hata mrithi wake anamtafuta yeye au umesahau katiba ilipombana akamweka mtu uraisi kisha yeye akachauliwa kuwa waziri mkuu .. baada ikabadilishwa katiba akarudi madarakani


Kuna vitu Rais wa marekani anaweza aka force vifanyike ila sio kwa level hiyo ya kwenda ku annex nchi
 
Kipindi chake cha kwanza huyu huyu Trump aliweka wazo mezani la kuinunua Greenland. Sijui ule mpango wake uliishia wapi!

Kama vipi waichukue bongo kwa sharti waliomo automatically wapewe uraia wa US.
😆😆😂 Acha bwana.
 
Salaam Jamani,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza , kuna mambo ni mpaka nimeanza kuogopa, wiki 4 zilizopita Trump alimtania Canada Pm kwa kumwita Gavernor wa great state of Canada eti kwamba Canada iwe jimbo la 51 la USA.

Leo karudia tena kwamba Canada kua jimbo la 51 la USA ni idea nzur, mbaya zaidi nasikia kuna Wacanada wanaona wao kua party ya USA ni mzuka tu, sasa nimeanza kuogopa hasa ikizingatiwa Trump na Putin ni marafiki....vipi USA akimvamia Canada?

Hasa ikizingatiwa Canada ina utajiri mkubwa wa maliasili na ardhi, na je hz nch ya pili na ya tatu duniani zikiungana itakuwaje?

Naogopa sana yasije kua mambo ya crimea vs Russia hapa, naomba maoni yenu mimi nikiwa kama mpenda Amani Duniani.
Canada iko chini ya King Charles III, kama ilivyo Australia, Jamaica, Bermuda and Antigua etc.
 
Salaam Jamani,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza , kuna mambo ni mpaka nimeanza kuogopa, wiki 4 zilizopita Trump alimtania Canada Pm kwa kumwita Gavernor wa great state of Canada eti kwamba Canada iwe jimbo la 51 la USA.

Leo karudia tena kwamba Canada kua jimbo la 51 la USA ni idea nzur, mbaya zaidi nasikia kuna Wacanada wanaona wao kua party ya USA ni mzuka tu, sasa nimeanza kuogopa hasa ikizingatiwa Trump na Putin ni marafiki....vipi USA akimvamia Canada?

Hasa ikizingatiwa Canada ina utajiri mkubwa wa maliasili na ardhi, na je hz nch ya pili na ya tatu duniani zikiungana itakuwaje?

Naogopa sana yasije kua mambo ya crimea vs Russia hapa, naomba maoni yenu mimi nikiwa kama mpenda Amani Duniani.
Unaogopa ukiwa Namtumbo😂
 
Back
Top Bottom