Great Thinker hii misemo inaukweli na uhalisia. Babu zetu walikuwa na akili sana?!

Great Thinker hii misemo inaukweli na uhalisia. Babu zetu walikuwa na akili sana?!

Kizotaka

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2012
Posts
561
Reaction score
107
'Penye miti hapana wajenzi' huu msemo wa mababu zetu ni valid wakati huu!? Naogopa mana naona unaukweli dhahiri kwenye taifa hili. Tuna kila kitu hapa nyumbani,ardhi,misitu,madini,maziwa na mito na bahari,mbuga za wanyama na vivutio vingine vya asili na kihistoria lakini wapi! Bado tuna aminishwa hili ni taifa changa na masikini! Tatizo ni wananchi au ccm,maana tusipigizane kelele wakati misemo yenye busara tunayo 'penye miti hapana wajenzi' au tuna tatizo jingine!? Nawakilisha Great Thinkers
 
mbona hii thread haina coments? Mababu wa JF wako wapi? Lol
 
sentence yenyewe kama sentence ina maana mbili (ambazo nimefikiria haraka).

Kwanza that sehemu yenye miti inamaanisha haina watu wanaoishi hapo wakati huo, na ya pili hiyo kwamba sehemu yenye miti hakutakuwa na wa kuishi hapo.
Haya my thinking capacity imeishia hapo! Lool
 
Back
Top Bottom