Duuh. Sasa hapo killaza Kati yenu itabidi atafute avatar nyinginendicho nilichokifanya kwa HR666
Sasa je mimi na yeye(jonax) ni mtu mmoja?
siri mi na we ni lazima iwe siriaziHiyo haipo kwnye kiswahili,
Sawa Kanye west(yeezus)una uhakika?
Ni avatar moja sio multiple id's
we mbona unaongea mafumbo kama msichana? Au wewe sio riziki nini?Najuwa si kupenda kwako ni hali ya maisha tu
[emoji35] Wewe yeezus kwanini unatumia avatar yangu?mzee utafungwa ,usipende kusema kitu bila ushahidi
we mbona unaongea mafumbo kama msichana? Au wewe sio riziki nini?
Aache ungese, kwanini anatumia avatar yangu?Naona mnafanana avatar sasa. Mmoja wenu ambaye atakuwa kilazza inabidi atafute avatar nyingine
yale yaleOyoeshefekenyaenda nyambuge
mzee na matusi tena?Aache ungese, kwanini anatumia avatar yangu?
Shabasssh! Maaamaeeeee
yale yale
poa mkuu potezea kama vipiHoma ya akili ni mbaya mpaka bas
poa mkuu potezea kama vipi
Inachanganya kinoma. Unaweza ukakosea Ku reply kwa mjumbe sahihi.Aache ungese, kwanini anatumia avatar yangu?
Shabasssh! Maaamaeeeee
sawa mkuu mbona unapenda ligi?Vuvuchirankoandu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huu mchezo hauitaji hasiraInachanganya kinoma. Unaweza ukakosea Ku reply kwa mjumbe sahihi.
sawa mkuu mbona unapenda ligi?
Umeshinda wewe
sasa mzee jonax sijaelewa.. avator unaiita yako una hati miliki ya hio Avator? [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji35] Wewe yeezus kwanini unatumia avatar yangu?
poa poa mkuu umesomekaNyambuge ukiwa na hang over unasumbua bas tu
ha ha ha mwambie huyo mkuusasa mzee jonax sijaelewa.. avator unaiita yako una hati miliki ya hio Avator? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
hapo najua atanijibu "ila mimi ndio wa kwanza kuitumia"ha ha ha mwambie huyo mkuu