Babumawe
JF-Expert Member
- Sep 12, 2014
- 2,556
- 2,571
Habari za muda huu great thinkers.
Huu uzi naomba tufanye vitu vya kigreat thinking tuoneshe umwamba kwenye thinking capacity.
Kinachotakiwa hapa ni kitu kidogo tu ni either kuandika neno ama kutuma kapicha au kudisplay pattern yeyote au kufanya kitu chochote ambacho unahisi kipo katika lugha fulani ya kujificha ambayo inabidi utumie akili ya ziada ili uweze kutatua
Haya magreat thinkers wenzangu kwa pamoja tuoneshe umwamba wetu humu. Mimi naanza na kutuma hii picha, very simple picha but unahitaji uwe great thinker kweli narudia tena uwe great thinker kweli na utulie kweli ili uweze kuitafsiri
AYA KARIBUNI
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Huu uzi naomba tufanye vitu vya kigreat thinking tuoneshe umwamba kwenye thinking capacity.
Kinachotakiwa hapa ni kitu kidogo tu ni either kuandika neno ama kutuma kapicha au kudisplay pattern yeyote au kufanya kitu chochote ambacho unahisi kipo katika lugha fulani ya kujificha ambayo inabidi utumie akili ya ziada ili uweze kutatua
Haya magreat thinkers wenzangu kwa pamoja tuoneshe umwamba wetu humu. Mimi naanza na kutuma hii picha, very simple picha but unahitaji uwe great thinker kweli narudia tena uwe great thinker kweli na utulie kweli ili uweze kuitafsiri
AYA KARIBUNI
Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app