Be careful man, hapo kuna harufu ya matatizo kwa mbali. Kama anajiheshimu mapaja yasingegusana, anapretend anaheshima, na wewe unajua hana hiyo heshima ila unajidanganya kumuona anaheshima.
Angalia fumanizi, na moja ya sifa ya fumanizi ni kukuachia muhuri wa maisha.