greatings

greatings

Jerry one

Member
Joined
Mar 1, 2013
Posts
35
Reaction score
5
hellow ...,am a law student studying at open university.am glad to be part of u and am sure u will help me clear my doubts in the eyes of the law....baba yangu alioa mtoto wa kigogo mmoja hapa nchini lakini mama yangu huyo wa kambo hataki tupate haki zetu kabisa mana anamuonga hakimu...na case ina miaka kumi sasa.je naweza kumuona nani akanisaidia mana case imepoteza muelekeo.....
 
hellow ...,am a law student studying at open university.am glad to be part of u and am sure u will help me clear my doubts in the eyes of the law....baba yangu alioa mtoto wa kigogo mmoja hapa nchini lakini mama yangu huyo wa kambo hataki tupate haki zetu kabisa mana anamuonga hakimu...na case ina miaka kumi sasa.je naweza kumuona nani akanisaidia mana case imepoteza muelekeo.....
haujafafanua ni kesi ya namna gan na hizo haki ni zipi
 
kamuone na hakimu mfawidhi wa mahakama hiyo..muelezee muenendo wa kesi..ila hauna lecturer wakili,y not ask them pia,kama kiswali fulani hvi, sio lazima ajue ni wewe ndo una probs...kwani lecturers ni wakaksi kiasi hvyo jamani?
 
Back
Top Bottom