NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 14,267
- 14,890
Utopolo mtupu
Rudi kwenye nada mkuu...huo ni utopoloHehehe!! Kwa comment yako hii, sishangai kwa ripoti kama hizi Dah! Uganda waipita Kenya kwenye mataifa yenye furaha, huku Tanzania ikiendelea kushikilia nafasi ya wanunaji na wenye dhiki
Show me this in your terminal.
Kindly hide ur poverty...we are building BRT more than 20 stations with special dedicated concrete roads..unafikiri tunashindwa weka hiyo screen hapo..acha ujinga mkuu.Show me this in your terminal.
View attachment 1730806
We are talking about modern terminals, not just random bus stages.
Answer the question and stop diversion tactics. Show us the screen, this has nothing to do with BRT. Acha povu.Kindly hide ur poverty...we are building BRT more than 20 stations with special dedicated concrete roads..unafikiri tunashindwa weka hiyo screen hapo..acha ujinga mkuu.
Answer the question and stop diversion tactics. Show us the screen, this has nothing to do with BRT. Acha povu.
Jibu swali...unafikiri huo utopolo mlioweka hapo tunashindwa? Hivyo vituo kwenu bado ni. NdotoAnswer the question and stop diversion tactics. Show us the screen, this has nothing to do with BRT. Acha povu.
Mbona unashindwa mjadala rahisi hivi bradhee. 🤣 🤣 🤣 🤣 Nimekuuliza simple question, nionyeshe screen kama hiyo kwa hicho kituo cha Dar. Kama haipo, sema haipo.Jibu swali...unafikiri huo utopolo mlioweka hapo tunashindwa? Hivyo vituo kwenu bado ni. Ndoto
Utakua na stress wewe si bure..Mbona unashindwa mjadala rahisi hivi bradhee. 🤣 🤣 🤣 🤣 Nimekuuliza simple question, nionyeshe screen kama hiyo kwa hicho kituo cha Dar. Kama haipo, sema haipo.
Ndio mmeshindwa. Hizo vituo zenu ovyo sana. Zinakaa county markets hapa Kenya. Hata viti hamna, mahala pa walemavu hamna. Ni mabati tuu juu ya vyuma. A 2021 bus stage is supposed to be modern with a screen announcing vehicles arrivals, loading and time of departure - kitu ambacho hamna. Endeleeni na huo upuzi wenu wa 1900s.
Hiyo ndio screen? 🤣 🤣 🤣Utakua na stress wewe si bure..
View attachment 1731011
Hide your poverty ...kuwaweka watu Chini ya plastick..ni aibu sana..mnajenga vitu ambavyo ata kwa level ya halmashauri tu ni lowgradeHiyo ndio screen? 🤣 🤣 🤣
Haya, tumeskia, tuonyeshe screen sasa.Hide your poverty ...kuwaweka watu Chini ya plastick..ni aibu sana..mnajenga vitu ambavyo ata kwa level ya halmashauri tu ni lowgrade
Asante 🙏🙏Inapendeza majirani...