Mtaalamu WaKiingereza
Member
- Oct 30, 2018
- 9
- 2
Thank you so much for the warm welcome. I'm glad to be a part of this forum.Ur wlcm
Sie wengi la 5 tu.I'm new here. Is there anyone to welcome me?
ur wlcmLugha ya taifa ......
I'm new hereI'm new here. Is there anyone to welcome me?
Samahani, unaweza kuniambia unaelewa nini juu ya 'informal language'?I'm new here
[emoji3] [emoji3] [emoji3] jaman kuna lugha za kuzishobokea lakn sio lugha hii
Nimeshakaribia. ShukraniKaribu sana Mtaalamu WaKiingereza ingawa unaID ya kiswahili.
Kumbe kiswahili fasaha unajua mkuu,,,haya karibu dimbaniSamahani, unaweza kuniambia unaelewa nini juu ya 'informal language'?
Bainisha makosa kwenye sentensi hii "I'm new here"
Baada ya kubainisha makosa iandike kiusahihi in a natural English.
Thank you for welcoming me. I look forward to showing each of you my appreciation as your fellow member.ur wlcm
Elimu haina mwisho. Bado tunaweza kujifunza lugha hii ambayo inazungumzwa karibia ulimwenguni kote. Ahsante!Sie wengi la 5 tu.
Asante mkuu. Kiswahili fasaha nafahamu maana ndivyo lugha ya taifa. Hizi lugha zingine ni kwaajili ya kuongeza udambwi udambwi tu.Kumbe kiswahili fasaha unajua mkuu,,,haya karibu dimbani
Asante sana. NimeshakaribiaKaribu sana JF wewe mjukuu wetu hapakwa GT.