Habari zenu wana jf. Mimi nimependa sana jinsi mnavyoelimishana na kupeana updates. Mimi ni new member na ninadhani tutaendelea kubadilishana mawazo. Thanks
Karibu JF mkuu, ama baada ya ukaribisho....
Nakuomba ubonyeze hapo chini kwenye maandishi ya bluu halafu mpigie kura dada mrembo wa JF anayeitwa charminglady...natanguliza shukrani INGIA HAPA KUPIGA KURA
Habari zenu wana jf. Mimi nimependa sana jinsi mnavyoelimishana na kupeana updates. Mimi ni new member na ninadhani tutaendelea kubadilishana mawazo. Thanks