Greetings!!!!

JS

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2009
Posts
2,064
Reaction score
504
Hamjambo ndugu zanguni za JF?? za masiku kaka na dada zangu??? Niliwamiss kweli katika kipindi hiki kifupi ambacho sikuweza kuwa jamvini kwa sababu za ugonjwa. Lakini nimerudi mzima wa afya kwa sasa.

Geoff vipi mipango inaendeleaje????

Fidel mbona hujanitafuta unipe ile michango au ushaila?????

Xspin i love you so much brother

Kaizer thank God you are my friend

Wapwazz na Binamuz wengine wote tuendeleze libeneke la JF na nawapenda wote..


JS
 

mipango ilisiizi baada ya wewe kusiizi...!niaje?
michango yako anayo fidel
 
mipango ilisiizi baada ya wewe kusiizi...!niaje?
michango yako anayo fidel

Sasa si tunaendelea au???
Dah hicho kiswahili eti ilisizi mmmh haya.
 

Love you too sisy. mic u too! proud of you!
 
pole JS ingawa hukutoa taarifa ya hako ka ugonjwa kako, anyway...karibu tena jamvini, tupate new issues
 
Sasa si tunaendelea au???
Dah hicho kiswahili eti ilisizi mmmh haya.

Ehe nambie sala zangu zimefanya kazi? Manake hujanipa updates ya kale kakitu.
 
Ehe nambie sala zangu zimefanya kazi? Manake hujanipa updates ya kale kakitu.

Zimefanya sana kazi yani kama si sala zako sidhani kama ningekuwa hapa JF saa hivi.
 
pole sana chweet, karibu tena leo tulikuwa tunakula samaki
 

You are welcome JS,, Nipo tu thank God u are better now! I am proud of you!
 
pole sana chweet, karibu tena leo tulikuwa tunakula samaki

Mkaninyima saweni mtaona nikila na mie samaki sitawagawia hata mkia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…