Hamjambo ndugu zanguni za JF?? za masiku kaka na dada zangu??? Niliwamiss kweli katika kipindi hiki kifupi ambacho sikuweza kuwa jamvini kwa sababu za ugonjwa. Lakini nimerudi mzima wa afya kwa sasa.
Geoff vipi mipango inaendeleaje????
Fidel mbona hujanitafuta unipe ile michango au ushaila?????
Xspin i love you so much brother
Kaizer thank God you are my friend
Wapwazz na Binamuz wengine wote tuendeleze libeneke la JF na nawapenda wote..
JS
Hamjambo ndugu zanguni za JF?? za masiku kaka na dada zangu??? Niliwamiss kweli katika kipindi hiki kifupi ambacho sikuweza kuwa jamvini kwa sababu za ugonjwa. Lakini nimerudi mzima wa afya kwa sasa.
Geoff vipi mipango inaendeleaje????
Fidel mbona hujanitafuta unipe ile michango au ushaila?????
Xspin i love you so much brother
Kaizer thank God you are my friend
Wapwazz na Binamuz wengine wote tuendeleze libeneke la JF na nawapenda wote..
JS
hahahahahaha!Sasa si tunaendelea au???
Dah hicho kiswahili eti ilisizi mmmh haya.
Sasa si tunaendelea au???
Dah hicho kiswahili eti ilisizi mmmh haya.
ndiyo nina uhakika!Huniezi una uhakika huniezi??????
kwani uongo?Mmmh that is NOTED Geoff lol!!!!!
ukweli bwana!Mi sijui kama uongo au kweli
Hamjambo ndugu zanguni za JF?? za masiku kaka na dada zangu??? Niliwamiss kweli katika kipindi hiki kifupi ambacho sikuweza kuwa jamvini kwa sababu za ugonjwa. Lakini nimerudi mzima wa afya kwa sasa.
Geoff vipi mipango inaendeleaje????
Fidel mbona hujanitafuta unipe ile michango au ushaila?????
Xspin i love you so much brother
Kaizer thank God you are my friend
Wapwazz na Binamuz wengine wote tuendeleze libeneke la JF na nawapenda wote..
JS
pole sana chweet, karibu tena leo tulikuwa tunakula samaki
HAYA basi uongo!sasa mbona unalazimisha kama ni ukweli au uongo????