Growing tension between Rwanda and Uganda



trump hakukosea wallahiπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Ona unavyojidharau, ukiita mbeya shithole, so is Kenya, tena serikali yenu haikukemea kuitwa hilo jina.
You're the shithole
 
There is tensions, danganya mburula wenzako. Unaogopa confrontation na Ug, you better be afraid
 
Hizi taarifa niliziona sehemu, tuombe sana amani itamalaki maana Rwanda na Uganda wanaweza kukinukisha.
Nitafurahiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. Si ndio marafiki zetu hawa. wacha tu watwangane.
 
Nitafurahiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. Si ndio marafiki zetu hawa. wacha tu watwangane.

Usiombe vita vya majirani maana hamtakaa kwa amani, kwanza mtegemee wakimbizi wengi na pia wahalifu wenye silaha za moto wataongezeka, kumbuka mnafanya biashara na nchi zote hizo, wakianguka kiuchumi mnaadhirika pia, so tumia akili kabla ya kushabikia vita.
 
Sisi tunamtegemea Mungu. atatuepusha tu. wapigane tu, hao wote Ndugu. Wacha watiane adabu.
 
My friend, skipping could be the exact word to use!!
 
Unajifanya unajua kingereza ila mwisho wa siku umehamishiwa ukafundishe shule ya msingi wakati wale wanaounga unga ndio wamebakishwa kufundisha sekondari.
what were the criteria for transfer? tuanzie hapa
 


trump hakukosea wallahiπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
We ni fala hakukosea nn,hii kitu ilifanyika for the first time mbeya hata kama kwingineko duniani ilifanyika since pre Cambrian era,so they have the right and reason to celebrate maana ndo kwa Mara ya kwanza so hakuna shida
 
Achana na huyo lofa chinkororo. Hata akili za machizi wa Mathare Mental Hospital hazifikii. Labda akichapwa transfer hadi Milembe ndo wataweza kuelewa shida zake, baada ya kumpima mkojo kwanza.
Wewe bwege nimekufatilia na nikajiridhisha ni mtanzania unayejifanya mkenya

Kwanza kiswahili sio cha kikenya cha kuunga kwa jojo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…