Grycelin ya Zambia na maajabu yake

Wow hongera sipati picha ulivo nga'ra, yan Mimi nimekuwa na ngozi Kama ya mtotoni n nimepata mng'ao Kama WA mtu mwenye PESA, najuta nilikuwa wapi kuifahamu Mapema na. nimeng'ara .
una maanisha hii au?
 
"yaan ngoz inakuwa Kama ya mtoto mdogo".Haloo weka picha basi
 
Kama ni zile za elfu 2 za mfuniko wa blue hazifai

Zinaunguza mnoo....washauri wasipake yenyewe wachanganye na mafuta mengine. Huko mbeya tu hawaipaki hivi hivi bila kuchanganya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tupe mrejesho [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wow hongera sipati picha ulivo nga'ra, yan Mimi nimekuwa na ngozi Kama ya mtotoni n nimepata mng'ao Kama WA mtu mwenye PESA, najuta nilikuwa wapi kuifahamu Mapema na. nimeng'ara .
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] bado unatumia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…