MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Nimependa nilipoona TFF imetoa ONYO juu ya Upuuzi huu wa Wasemaji na Wazee wa Yanga SC ila nashangaa na nasikitika mpaka leo Wizara husika ya Utamaduni, Sanaa na Michezo na BMT wakiwa Kimya kitu ambacho ni Hatari na kinaweza kuibua Hisia Mbaya juu yao.
Baada ya GSM kuona Mkakati wao Kufeli kwani baada ya Tangazo lao la Kujitoa kama Wadhamini Wenza wa NBC Premier League GSM walitaka Umma ( Public ) ukasirike, presha iwe Kubwa, Waogopwe na Wamharibie Rais Karia wa TFF na Watendaji wote wa TFF.
Aliye nyuma ya huu Upuuzi na Uhuni wote uliofanywa na unaendelea Kufanywa na Wasemaji wa Yanga SC na jana Wazee wa Yanga SC na nimeambiwa kuna Kundi lingine litaibuka kabla ya Jumapili au kutatokea Tukio fulani ili tu Mkakati huu Maalum wa Kuichafua TFF na Serikali ( hasa Waziri Mkuu Majaliwa ) ambao Wote hawa ni wana Simba SC Kiushabiki / Kimapenzi utimie.
Na sisi Wadau wa Michezo tunawasubiri hawa Wazee wakienda huko wanakotaka kwenda Kushtaki wamtaje Waziri Mkuu Majaliwa ili na Sisi tuwakumbushie hawa Wazee jjnsi gani Rais Mstaafu Kikwete nae aliwabeba Yanga SC tena wazi wazi na muda mwingine Kumtumia Mwanae Kipenzi Ridhiwani Kuihujumu Simba SC na kuweka Msukumo kwa TFF iliyokuwa chini ya mwana Yanga SC Mwenzao Jamal Malinzi ili Washinde na wawe Mabingwa mfululizo kwa Kipindi kile.
Mnashindwa Kucheza Mpira na mnaanza Kuwachafua Viongozi Waandamizi wa Serikali kuwa Wanawaonea mkidhani Watanzania wote ni Wapumbavu ( Fools ) kama mlivyo na Klabu yenu mkisahau kuwa Kuimba ni Kupokezana hivyo na sasa Simba SC wameshajjtathmini, wamejisahihisha na wanaanza kurejea katika rythm yao ambayo mara nyingi huwa inawafanikisha kuwa Mabingwa.
Baada ya GSM kuona Mkakati wao Kufeli kwani baada ya Tangazo lao la Kujitoa kama Wadhamini Wenza wa NBC Premier League GSM walitaka Umma ( Public ) ukasirike, presha iwe Kubwa, Waogopwe na Wamharibie Rais Karia wa TFF na Watendaji wote wa TFF.
Aliye nyuma ya huu Upuuzi na Uhuni wote uliofanywa na unaendelea Kufanywa na Wasemaji wa Yanga SC na jana Wazee wa Yanga SC na nimeambiwa kuna Kundi lingine litaibuka kabla ya Jumapili au kutatokea Tukio fulani ili tu Mkakati huu Maalum wa Kuichafua TFF na Serikali ( hasa Waziri Mkuu Majaliwa ) ambao Wote hawa ni wana Simba SC Kiushabiki / Kimapenzi utimie.
Na sisi Wadau wa Michezo tunawasubiri hawa Wazee wakienda huko wanakotaka kwenda Kushtaki wamtaje Waziri Mkuu Majaliwa ili na Sisi tuwakumbushie hawa Wazee jjnsi gani Rais Mstaafu Kikwete nae aliwabeba Yanga SC tena wazi wazi na muda mwingine Kumtumia Mwanae Kipenzi Ridhiwani Kuihujumu Simba SC na kuweka Msukumo kwa TFF iliyokuwa chini ya mwana Yanga SC Mwenzao Jamal Malinzi ili Washinde na wawe Mabingwa mfululizo kwa Kipindi kile.
Mnashindwa Kucheza Mpira na mnaanza Kuwachafua Viongozi Waandamizi wa Serikali kuwa Wanawaonea mkidhani Watanzania wote ni Wapumbavu ( Fools ) kama mlivyo na Klabu yenu mkisahau kuwa Kuimba ni Kupokezana hivyo na sasa Simba SC wameshajjtathmini, wamejisahihisha na wanaanza kurejea katika rythm yao ambayo mara nyingi huwa inawafanikisha kuwa Mabingwa.