Sasa ni rasmi klabu ya Yanga ipo mikononi mwa GSM na cha ajabu viongozi wako kimya kabisa.
Hawa wote wameletwa na GSM
1. Engineer Hersi
2. Karibu Mkuu Haji Mfikirwa
3. CEO Senzo
4. Haji Manara
Cha ajabu GSM yupo yanga kwa kofia mbili tu.
kwanza kama mzalishaji na msambazaji wa jezi za Yanga.
Pili, kama mdhamini katika masuala ya usajili ingawa wachezaji wanaoletwa wengi ni wa mkopo.
Kwa kofia hizo mbili dhaifu ni makosa makubwa kwa viongozi wa kuchaguliwa kama Mwenyekiti na Makamu wake kukubali GSM kuhodhi uendeshaji wa klabu kwa kujaza watu wake.
Kwanza hili la kumleta Manara ni aibu kubwa sana.
Viongozi wa Yanga amkeni.
Hawa wote wameletwa na GSM
1. Engineer Hersi
2. Karibu Mkuu Haji Mfikirwa
3. CEO Senzo
4. Haji Manara
Cha ajabu GSM yupo yanga kwa kofia mbili tu.
kwanza kama mzalishaji na msambazaji wa jezi za Yanga.
Pili, kama mdhamini katika masuala ya usajili ingawa wachezaji wanaoletwa wengi ni wa mkopo.
Kwa kofia hizo mbili dhaifu ni makosa makubwa kwa viongozi wa kuchaguliwa kama Mwenyekiti na Makamu wake kukubali GSM kuhodhi uendeshaji wa klabu kwa kujaza watu wake.
Kwanza hili la kumleta Manara ni aibu kubwa sana.
Viongozi wa Yanga amkeni.